Vile vyandarua tulivyopewa mwaka juzi vimeanza kuchanika(vimechoka)
Nlikuwa nauliza wahusika kuna uwezekano na mwaka huu tukapewa zawadi nyingine ya vyandarua kwa kila kaya?
NB: Siku hizi mbu wameongezeka sana kuliko enzi za jk
Vile vyandarua tulivyopewa mwaka juzi vimeanza kuchanika(vimechoka)
Nlikuwa nauliza wahusika kuna uwezekano na mwaka huu tukapewa zawadi nyingine ya vyandarua kwa kila kaya?
NB: Siku hizi mbu wameongezeka sana kuliko enzi za jk
Bora ukawape wavuvi wavulie samakiNiligawiwa vyandarua kama tisa hivi vipo stoo
Huku kitaani kwetu vimewekwa kama kuzuia kunguru wasichukue vifaranga na wengine wamezungushia kwenye bustani za mboga kuku wasiingieVile vyandarua tulivyopewa mwaka juzi vimeanza kuchanika(vimechoka)
Nlikuwa nauliza wahusika kuna uwezekano na mwaka huu tukapewa zawadi nyingine ya vyandarua kwa kila kaya?
NB: Siku hizi mbu wameongezeka sana kuliko enzi za jk
Kweli dadaangu huenda ni utunzaji maana kuna wengine tangu wapewe hawajawahi kufua na kuhusu kuchanika huenda miguu ya mtumoaji ikawa na masagamba maana huchangia sana kurarua netUpo mkoa gani?
Mwaka jana pwani tumegaiwa tena.
Ni vyandarua vizuri sana kuliko hata vya mchina madukani.
Nnayo toka vya mwaka juzi, kama vimetoka juzi dukani, ni matunzo tu.
Dah! Huyo jamaa yako usimtaje kabisa. Kuna mmoja hapa kijijini kwangu kashitakiwa kwa tabia hiyo. Mashtaka yake :Kuhujumu mali ya umma na kudharau rasilimali za nchiSijawahi kutumia hivyo vyandalua, Nilipewa Vinne mpaka leo vipo kwenye Vifungashio vyake.
Jirani yangu aliweka kwenye bustani ili kuzuia kuku.
Mkuu tulipewa tutumie sio kutunza