Masseto
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 1,589
- 3,105
Bro haikuwa Arusha last week kwel. Maana kuna jamaa alidandia gari mara akatereza chaali doh mavumbi tu.Niliwahi taka kuruka kwenye daladala kama makondakta wanavyofanya,aisee siji sahau namna nilivyolamba lami,na ilikua mchana kweupee.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app