Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,522
Kilaza ni neno lilokuwa linatumika University of Dar es Salaam miaka ya 90s na kuendelea (sina hakika na miaka ya nyuma zaidi) kumuidentify mwanafunzi mwenye uwezo mdogo darasani. Kinyume chake ni Kipanga.
Solidarity forever, and DARUSO members are strong!
Thank you ! Hujasema kinyume cha Kilaza ni Kiranga