Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Wakati Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejibu madai hayo ikisema zipo sheria za kufuata kama kuna kasoro.

Taarifa ya kusudio la kuweka vikwazo vya visa kwa Watanzania imetolewa juzi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Michael Pompeo aliyeandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema ni kutokana na vitendo vya kuingiliwa kwa uchaguzi huo.

“Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo (juzi), tunaweka vikwazo vya visa kwa wale waliohusika kuingilia uchaguzi nchini Tanzania. Tunaendelea kufanya kazi kuendeleza demokrasua na mafanikio ya pamoja kwa nchi zetu mbili,” umesomeka ujumbe wa Pompeo katika Twitter.

Hata hivyo, taarifa ya Pompeo iliyotolewa Januari 19 katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, haijataja maofisa wanaolengwa na vikwazo hivyo, lakini inafuatilia kwa karibu mwenendo wa demokrasia na haitasita kuchukua hatua zaidi.

Kwa upande wake Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela alipoulizwa kwa simu kuhusu taarifa hiyo alisema hawajaipata rasmi.

“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage alisema taarifa hiyo haijafafanua kinacholalamikiwa na sheria za Tanzania zinaelekeza kupeleka mashitaka mahakamani pale mlalamikaji anapoona sheria hazikufuatwa.

“Hayo ni maoni yao, sasa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi atafanya nini? Waeleze basi huo uchaguzi uliingiliwaje? Maelezo yao hayajaeleweka bado,” alisema.

Jaji Kaijage aliyesema kwa sasa yuko likizo, alisema katika uchaguzi huo kulikuwa na waangalizi na walitoa ripoti zao za awali na wameendelea kutoa ripoti kuu.

“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha. Kwa sasa mimi niko likizo sijaona ripoti walizotoa.

Aliendelea kufafanua; “Unaposema uchaguzi umeingiliwa inakuwa ni general statement kauli ya jumla). Ni lazima useme umeingiliwa kivipi? sio sweeping statement. Sheria zetu ziko wazi kama unaona kuna kasoro baada ya uchaguzi unafanya uchunguzi wa kisheria uone kama kuna makosa labda katika uteuzi wa wagombea au wakati wa kupiga kura. Baada ya hapo unakwenda mahakamani kushitaki.”

Alipoulizwa kuhusu vikwazo hivyo alisema: “Issue sio mara ya kwanza au ya pili kuwekewa vikwazo, ila ni basis (msingi) ya hivyo vikwazo. Aulizwe yeye aliyechukua hatua na sio sisi. Lakini statement yao iko too general, haiko concrete.”

Katika tovuti ya Serikali ya Marekani umetolewa ufafanuzi wa kauli ya Pompeo ikisema vitendo vilivyofanywa na maofisa wanaotuhumiwa ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia.

“Waangalizi wa uchaguzi na asasi za kiraia zilishuhudia ukandamizaji na uvunjifu wa haki za binadamu, kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Wagombea wa upinzani walienguliwa, wananyanyaswa na kukamatwa.

“Kuongezeka kwa kasoro za upigaji kura, kufungwa kwa intaneti, manyanyaso kwa waandishi wa habari na vurugu zilizosababishwa na vyombo vya usalama vyote viliufanya uchaguzi huo usiwe huru wala wa haki. Viongozi wa asasi za kiraia walipata vitisho na wa upinzani wamekimbia nchi wakihofia usalama wao,” imesema taarifa hiyo.

Marekani imeitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwachukulia hatua waliohusika na makosa ya uchaguzi na vurugu

Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuweka vikwazo vya visa kwa watendaji wa Serikali ya Tanzania. Januari 31, 2020, Pompeo alitangaza kumpiga marufuku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mkewe kuingia nchini humo kwa madai ya uvunjifu wa haki za binadamu.
Wao kama TUME ya uchaguzi walishindwa kuchua hatua pale sheria zilopopindishwa na wagombea wao wa kijani leo wanapata wapi nguvu ya kutoa kauli hii. Acha wapate adhabu hiyo inayowastahili tena hawa majaji wanapenda saana kudhurula wataishia kuzunguka Africa na nchi za karibu karibu tu!
 
Awamu hii imewagusa wachache walio na chapa lkn wengi wapo kikaangoni.
Wwe Kama ni kula kulala kwa shemeji aliyepita bila kupingwa huwezi ona Hali halisi,lkn wengi umlilia Mungu atende miujiza. Hawa wafanyakazi wanaokomolewa kwa kunyimwa nyongeza Hali maisha upanda, wafanyabiashara wanafunga biashara zao but yote ni mapito yatapita Kama upepo hakuna aliyewahi kimbiza upepo akashinda
vp awamu zilizopita ulificha wap zile million zako zmeshindwa kukusaidia mpaka sasa?
 
NEC ni tatizo, mnajuwa mlivyo ingilia uchaguzi, halafu mnataka watu wakapoteze muda mahakamani, eti kama mkuridhika, nani ataridhika kwa mliyofanya? Mmeagizwa kuaribu na mmetekeleza, na amujali kitu mnajigamba hamtishi eti taifa huru, huru linaloiba kura? Nani amewalazimisha muitishe uchaguzi?
 
Wakati Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejibu madai hayo ikisema zipo sheria za kufuata kama kuna kasoro.

Taarifa ya kusudio la kuweka vikwazo vya visa kwa Watanzania imetolewa juzi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Michael Pompeo aliyeandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema ni kutokana na vitendo vya kuingiliwa kwa uchaguzi huo.

“Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo (juzi), tunaweka vikwazo vya visa kwa wale waliohusika kuingilia uchaguzi nchini Tanzania. Tunaendelea kufanya kazi kuendeleza demokrasua na mafanikio ya pamoja kwa nchi zetu mbili,” umesomeka ujumbe wa Pompeo katika Twitter.

Hata hivyo, taarifa ya Pompeo iliyotolewa Januari 19 katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, haijataja maofisa wanaolengwa na vikwazo hivyo, lakini inafuatilia kwa karibu mwenendo wa demokrasia na haitasita kuchukua hatua zaidi.

Kwa upande wake Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela alipoulizwa kwa simu kuhusu taarifa hiyo alisema hawajaipata rasmi.

“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage alisema taarifa hiyo haijafafanua kinacholalamikiwa na sheria za Tanzania zinaelekeza kupeleka mashitaka mahakamani pale mlalamikaji anapoona sheria hazikufuatwa.

“Hayo ni maoni yao, sasa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi atafanya nini? Waeleze basi huo uchaguzi uliingiliwaje? Maelezo yao hayajaeleweka bado,” alisema.

Jaji Kaijage aliyesema kwa sasa yuko likizo, alisema katika uchaguzi huo kulikuwa na waangalizi na walitoa ripoti zao za awali na wameendelea kutoa ripoti kuu.

“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha. Kwa sasa mimi niko likizo sijaona ripoti walizotoa.

Aliendelea kufafanua; “Unaposema uchaguzi umeingiliwa inakuwa ni general statement kauli ya jumla). Ni lazima useme umeingiliwa kivipi? sio sweeping statement. Sheria zetu ziko wazi kama unaona kuna kasoro baada ya uchaguzi unafanya uchunguzi wa kisheria uone kama kuna makosa labda katika uteuzi wa wagombea au wakati wa kupiga kura. Baada ya hapo unakwenda mahakamani kushitaki.”

Alipoulizwa kuhusu vikwazo hivyo alisema: “Issue sio mara ya kwanza au ya pili kuwekewa vikwazo, ila ni basis (msingi) ya hivyo vikwazo. Aulizwe yeye aliyechukua hatua na sio sisi. Lakini statement yao iko too general, haiko concrete.”

Katika tovuti ya Serikali ya Marekani umetolewa ufafanuzi wa kauli ya Pompeo ikisema vitendo vilivyofanywa na maofisa wanaotuhumiwa ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia.

“Waangalizi wa uchaguzi na asasi za kiraia zilishuhudia ukandamizaji na uvunjifu wa haki za binadamu, kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Wagombea wa upinzani walienguliwa, wananyanyaswa na kukamatwa.

“Kuongezeka kwa kasoro za upigaji kura, kufungwa kwa intaneti, manyanyaso kwa waandishi wa habari na vurugu zilizosababishwa na vyombo vya usalama vyote viliufanya uchaguzi huo usiwe huru wala wa haki. Viongozi wa asasi za kiraia walipata vitisho na wa upinzani wamekimbia nchi wakihofia usalama wao,” imesema taarifa hiyo.

Marekani imeitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwachukulia hatua waliohusika na makosa ya uchaguzi na vurugu

Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuweka vikwazo vya visa kwa watendaji wa Serikali ya Tanzania. Januari 31, 2020, Pompeo alitangaza kumpiga marufuku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mkewe kuingia nchini humo kwa madai ya uvunjifu wa haki za binadamu.
Uliingiliwa kwa kura za mabegi.MTU mmoja anakuwa na begi zima anatumbukiza
 
Nimekuwa nikifuatilia majibu anayotoa judge Kaijage pindi anaposikia malalamiko kuhusu mwenendo wa uchaguzi uliofanyika mwaka jana. Majibu aliyotoa wakati wapinzani walipolalamika na yale maelezo aliyotoa dhidi ya waziri wa Marekani baada ya kufungia maafisa waliohusika na uchaguzi yanafanana kwa maana kwamba wenye malalamiko wafuate utaratibu wa kisheria.

Kabla sijatoa maoni yangu juu ya majibu hayo ningemshauri judge Kaijage apitie ushauri au maoni ya judge Warioba aliyotoa kwenye kongamano la haki za binadamu jijini Dar. Umuhimu wa kuzingatia maoni hayo yanatokana na sifa zifuatazo alizonazo judge Warioba.
1) Judge Warioba ni mwanasheria kitaaluma aliyewahi kuwa judge mahakama ya Afrika mashariki na kuwa mwanasheria mkuu wa serikali awamu ya kwanza.
2) Judge Warioba ni mwanachama mwanzilishi wa CCM na kwa hiyo maoni yake yatakuwa ni ya kutaka kujenga yasipuuzwe
3) Pamoja na kuwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali, judge Warioba ni waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais mstaafu aliyehudumu enzi ya uongozi wa awamu ya pili. Sifa hizi zinayapa maoni yake uzito wa pekee katika jamii.

Baada ya kutoa ushauri huu ningependa sasa nieleze kwa nini kwa maoni yangu walalamikaji wamekwama kufuata utaratibu wa kisheria kupata haki yao.
1)Kama alivyosema judge Warioba tofauti na chaguzi zilizotangulia idadi ya wagombea walioenguliwa mwaka huu ni kubwa na haijawahi kutokea. Utaratibu wa kisheria unasema walioenguliwa wakate rufaa kwa tume. Mimi nawajua wagombea kadhaa wa ubunge na udiwani ambao rufani zao hazikujibiwa na tume hadi leo. Kwa maana hiyo uchaguzi umefanyika bila ya mgombea kuambiwa uhalali wa kuenguliwa kwao na tume. Kwa muktadha huu utaratibu wa kisheria umesaidia nini katika kumpa mgombea haki yake.
2) Utaratibu wa kisheria muda wote mlalamikaji anatakiwa kutoa ushahidi wa malalamiko yake ili uamuzi wa haki utolewe. Mojawapo wa mashahidi muhimu kuhusu mwenendo wa uchaguzi ni mawakala. Pale mawakala wa wagombea wanapozuiwa au kuruhusiwa kwa kuchelewa kuingia vyumba vya uchaguzi ushahidi utapatikanaje. Haishangazi kwa hiyo kuona kwa uchaguzi wa mwaka jana kesi za uchaguzi ni chache sana kama zipo pamoja na matatizo yote yanayolalamikiwa. Wasimamizi wamefanya kazi nzuri sana ya kuvuruga uchaguzi na ushahidi. Ushauri wangu kwa judge Kaijage ni kukubali ushauri na kurekebisha kasoro zilizojitokeza kabla mambo hayajaharibika.
Naomba kuwasilisha.
Hivi Corona kwa nini isipite na huyu jaji?
 
Wakati Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejibu madai hayo ikisema zipo sheria za kufuata kama kuna kasoro.

Taarifa ya kusudio la kuweka vikwazo vya visa kwa Watanzania imetolewa juzi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Michael Pompeo aliyeandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema ni kutokana na vitendo vya kuingiliwa kwa uchaguzi huo.

“Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo (juzi), tunaweka vikwazo vya visa kwa wale waliohusika kuingilia uchaguzi nchini Tanzania. Tunaendelea kufanya kazi kuendeleza demokrasua na mafanikio ya pamoja kwa nchi zetu mbili,” umesomeka ujumbe wa Pompeo katika Twitter.

Hata hivyo, taarifa ya Pompeo iliyotolewa Januari 19 katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, haijataja maofisa wanaolengwa na vikwazo hivyo, lakini inafuatilia kwa karibu mwenendo wa demokrasia na haitasita kuchukua hatua zaidi.

Kwa upande wake Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela alipoulizwa kwa simu kuhusu taarifa hiyo alisema hawajaipata rasmi.

“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage alisema taarifa hiyo haijafafanua kinacholalamikiwa na sheria za Tanzania zinaelekeza kupeleka mashitaka mahakamani pale mlalamikaji anapoona sheria hazikufuatwa.

“Hayo ni maoni yao, sasa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi atafanya nini? Waeleze basi huo uchaguzi uliingiliwaje? Maelezo yao hayajaeleweka bado,” alisema.

Jaji Kaijage aliyesema kwa sasa yuko likizo, alisema katika uchaguzi huo kulikuwa na waangalizi na walitoa ripoti zao za awali na wameendelea kutoa ripoti kuu.

“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha. Kwa sasa mimi niko likizo sijaona ripoti walizotoa.

Aliendelea kufafanua; “Unaposema uchaguzi umeingiliwa inakuwa ni general statement kauli ya jumla). Ni lazima useme umeingiliwa kivipi? sio sweeping statement. Sheria zetu ziko wazi kama unaona kuna kasoro baada ya uchaguzi unafanya uchunguzi wa kisheria uone kama kuna makosa labda katika uteuzi wa wagombea au wakati wa kupiga kura. Baada ya hapo unakwenda mahakamani kushitaki.”

Alipoulizwa kuhusu vikwazo hivyo alisema: “Issue sio mara ya kwanza au ya pili kuwekewa vikwazo, ila ni basis (msingi) ya hivyo vikwazo. Aulizwe yeye aliyechukua hatua na sio sisi. Lakini statement yao iko too general, haiko concrete.”

Katika tovuti ya Serikali ya Marekani umetolewa ufafanuzi wa kauli ya Pompeo ikisema vitendo vilivyofanywa na maofisa wanaotuhumiwa ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia.

“Waangalizi wa uchaguzi na asasi za kiraia zilishuhudia ukandamizaji na uvunjifu wa haki za binadamu, kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Wagombea wa upinzani walienguliwa, wananyanyaswa na kukamatwa.

“Kuongezeka kwa kasoro za upigaji kura, kufungwa kwa intaneti, manyanyaso kwa waandishi wa habari na vurugu zilizosababishwa na vyombo vya usalama vyote viliufanya uchaguzi huo usiwe huru wala wa haki. Viongozi wa asasi za kiraia walipata vitisho na wa upinzani wamekimbia nchi wakihofia usalama wao,” imesema taarifa hiyo.

Marekani imeitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwachukulia hatua waliohusika na makosa ya uchaguzi na vurugu

Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuweka vikwazo vya visa kwa watendaji wa Serikali ya Tanzania. Januari 31, 2020, Pompeo alitangaza kumpiga marufuku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mkewe kuingia nchini humo kwa madai ya uvunjifu wa haki za binadamu.

 
Haya matoto bwana

Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa

Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc

Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri

Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"

Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".

Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!

Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....

Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential

Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!

Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!

Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....

Now you get the fvcking picture how dangerous this is!
"VIONGOZI MAVI" I like it.
 
Wewe kenge kweli, unaposema hivyo unatumia ubongo au makalio?
Mkuu mabeberu hawaamini kama hio Midege yote angani tumenunua cash bila mikopo
Roho inawauma kwetu elimu ni bure kwao ni pesa
Kwetu huduma za afya ni bure kwao pesa
Kwetu maisha yanakuja rahisi na mazuri kwao Yanapanda na maisha yao ni mabaya kuliko kwetu
Wanaamini siku moja watakuja kutafuta ajira Tanzania Ndio maana wanaona Gere
Kweli Tanzania ya Magufuli neema tupu isipokua kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
 
Wakati Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejibu madai hayo ikisema zipo sheria za kufuata kama kuna kasoro.

Taarifa ya kusudio la kuweka vikwazo vya visa kwa Watanzania imetolewa juzi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Michael Pompeo aliyeandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema ni kutokana na vitendo vya kuingiliwa kwa uchaguzi huo.

“Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo (juzi), tunaweka vikwazo vya visa kwa wale waliohusika kuingilia uchaguzi nchini Tanzania. Tunaendelea kufanya kazi kuendeleza demokrasua na mafanikio ya pamoja kwa nchi zetu mbili,” umesomeka ujumbe wa Pompeo katika Twitter.

Hata hivyo, taarifa ya Pompeo iliyotolewa Januari 19 katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, haijataja maofisa wanaolengwa na vikwazo hivyo, lakini inafuatilia kwa karibu mwenendo wa demokrasia na haitasita kuchukua hatua zaidi.

Kwa upande wake Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela alipoulizwa kwa simu kuhusu taarifa hiyo alisema hawajaipata rasmi.

“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage alisema taarifa hiyo haijafafanua kinacholalamikiwa na sheria za Tanzania zinaelekeza kupeleka mashitaka mahakamani pale mlalamikaji anapoona sheria hazikufuatwa.

“Hayo ni maoni yao, sasa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi atafanya nini? Waeleze basi huo uchaguzi uliingiliwaje? Maelezo yao hayajaeleweka bado,” alisema.

Jaji Kaijage aliyesema kwa sasa yuko likizo, alisema katika uchaguzi huo kulikuwa na waangalizi na walitoa ripoti zao za awali na wameendelea kutoa ripoti kuu.

“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha. Kwa sasa mimi niko likizo sijaona ripoti walizotoa.

Aliendelea kufafanua; “Unaposema uchaguzi umeingiliwa inakuwa ni general statement kauli ya jumla). Ni lazima useme umeingiliwa kivipi? sio sweeping statement. Sheria zetu ziko wazi kama unaona kuna kasoro baada ya uchaguzi unafanya uchunguzi wa kisheria uone kama kuna makosa labda katika uteuzi wa wagombea au wakati wa kupiga kura. Baada ya hapo unakwenda mahakamani kushitaki.”

Alipoulizwa kuhusu vikwazo hivyo alisema: “Issue sio mara ya kwanza au ya pili kuwekewa vikwazo, ila ni basis (msingi) ya hivyo vikwazo. Aulizwe yeye aliyechukua hatua na sio sisi. Lakini statement yao iko too general, haiko concrete.”

Katika tovuti ya Serikali ya Marekani umetolewa ufafanuzi wa kauli ya Pompeo ikisema vitendo vilivyofanywa na maofisa wanaotuhumiwa ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia.

“Waangalizi wa uchaguzi na asasi za kiraia zilishuhudia ukandamizaji na uvunjifu wa haki za binadamu, kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Wagombea wa upinzani walienguliwa, wananyanyaswa na kukamatwa.

“Kuongezeka kwa kasoro za upigaji kura, kufungwa kwa intaneti, manyanyaso kwa waandishi wa habari na vurugu zilizosababishwa na vyombo vya usalama vyote viliufanya uchaguzi huo usiwe huru wala wa haki. Viongozi wa asasi za kiraia walipata vitisho na wa upinzani wamekimbia nchi wakihofia usalama wao,” imesema taarifa hiyo.

Marekani imeitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwachukulia hatua waliohusika na makosa ya uchaguzi na vurugu

Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuweka vikwazo vya visa kwa watendaji wa Serikali ya Tanzania. Januari 31, 2020, Pompeo alitangaza kumpiga marufuku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mkewe kuingia nchini humo kwa madai ya uvunjifu wa haki za binadamu.
Hao NEC hawana lolote zaidi ya kupoteza muda tu,na kama wanaona hawaogopi basi waende huko USA waone cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom