Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Tukirejea matukio tu kuonyesha kwamba hawa watu wana ajenda zao ambazo hatujajua mpaka sasa.
Haya ni baadhi ya matukio yanayoonyesha kwamba hivi vikundi vya kigaidi na misismamo mikali vinauwa mpaka waislamu,sasa kama lengo ndo uislamu uende mbele mbona wanawauwa hata hao waislamu wenyewe?
Vikundi vya kigaidi ni tishio mpaka kwa sisi waislamu wenyewe kwa sababu hawachagui hawabagui.
Kuna tukio lilitokea mwanza jamaa wanasali wakajs wakapigwa mapanga msikitini na watu ambao walikuwa wakiwaambia "MASHEKHE WAPO NDANI NYIE MNASALI SALI NINI UNAFIKI MTUPU"
ikiwa ndo lengo lao kwamba uislamu na waislamu wapate nguvu mbona basi wanawauwa mpaka hao waislamu? Wana ajenda gani hawa wapumbavu wa akili?
Tukio la zanzibar la shekhe mmoja kutoka tanga alipopigwa bomu msikitini na mzazibar ambaye ni muislamu kwa kuahidiwa pesa laki tatu,muislamu anamtegea bomu muislamu kwa malengo gani?
Haina maana tunawashawishi wakauwe wasiokuwa waislamu lakini tunajaribu kuonyesha kwamba hata sisi waislamu wa kawaida ni wahanga wa hawa watu.
Itikadi zao ni kuwa kinyume na wao ni kaaafiri hata uwe na sijda kubwa kama kifuu cha nazi.
Kwa hivyo kwa wale mnaodhania kwamba eti hawa watu waislamu wanawapenda na kuwakubali ila hawataki kudhihirisha sio kweli aisee.na sisi ni wahanga sana.
Haya ni baadhi ya matukio yanayoonyesha kwamba hivi vikundi vya kigaidi na misismamo mikali vinauwa mpaka waislamu,sasa kama lengo ndo uislamu uende mbele mbona wanawauwa hata hao waislamu wenyewe?
Vikundi vya kigaidi ni tishio mpaka kwa sisi waislamu wenyewe kwa sababu hawachagui hawabagui.
Kuna tukio lilitokea mwanza jamaa wanasali wakajs wakapigwa mapanga msikitini na watu ambao walikuwa wakiwaambia "MASHEKHE WAPO NDANI NYIE MNASALI SALI NINI UNAFIKI MTUPU"
ikiwa ndo lengo lao kwamba uislamu na waislamu wapate nguvu mbona basi wanawauwa mpaka hao waislamu? Wana ajenda gani hawa wapumbavu wa akili?
Tukio la zanzibar la shekhe mmoja kutoka tanga alipopigwa bomu msikitini na mzazibar ambaye ni muislamu kwa kuahidiwa pesa laki tatu,muislamu anamtegea bomu muislamu kwa malengo gani?
Haina maana tunawashawishi wakauwe wasiokuwa waislamu lakini tunajaribu kuonyesha kwamba hata sisi waislamu wa kawaida ni wahanga wa hawa watu.
Itikadi zao ni kuwa kinyume na wao ni kaaafiri hata uwe na sijda kubwa kama kifuu cha nazi.
Kwa hivyo kwa wale mnaodhania kwamba eti hawa watu waislamu wanawapenda na kuwakubali ila hawataki kudhihirisha sio kweli aisee.na sisi ni wahanga sana.