- Thread starter
- #161
US CIA aliwasaidia sana Mujahedeen kupambana na USSR,Na mujahedeen baadae utawala wao ulikuja kupinduliwa mwishoni na TalibanHata hao mujahedeen (Taliban) yeye ndio aliwapa mafunzo na support wale wakati wanapambana kujiondoa USSR.
USA ni watu wanaohangaikia maslahi yao binfsi na sio usalama wala maendeleo ya dunia. Wawachezesha watu kama kete za draft