Vikoba/vikundi vya michezo vimekuwa chanzo cha wake za watu kuchepuka

Mambo yasiwe mengi, na mengi yasiwe mambo.

Carlos The Jackal nasemaje,,, Wewe kama una mke yaan umeoa, halafu unajua kabisa mkeo kazi yake ya kawaida tu, nasio kwamba wee mwanaume una pesa kivileeee

Alafu ana Jihusisha sijui na vikundi yaaan ana vikundi/vikoba/Visheti vingiiiii ila Hela yake haimtoshelezi yaan ana takiwa kila wiki apeleke kwa ujumla laki tatu + .

JUA KWAMBA, ANALIWA ILI APATE PESA YA VIKOBA.

Mkisema hayanihusu poaaa tu, nmemaliza........ila nmeandika kwa Uzoefu naoendelea kuuona.
Hivi anacheza afanye biashara arudishe au anachukua tu atumie then arudishe?? Naamini km anafanyia Biahara zake vizuri hamna tatizo kabisa, na pia hata km anayumba sidhani wote wanaliwa kisa wanayumba. Wengine ni Tabia zao tu.

Tuna-generalize mno halafu hawa wanawake wetu wa TZ naona tumewafanya cheap mno when it comes to sex. Kwamba hawawezi fanikisha lolote mpaka aliwe. Tusiwachukulie poa sn tabia za watu fulani isionekane ni za wote
 
Mambo yasiwe mengi, na mengi yasiwe mambo.

Carlos The Jackal nasemaje,,, Wewe kama una mke yaan umeoa, halafu unajua kabisa mkeo kazi yake ya kawaida tu, nasio kwamba wee mwanaume una pesa kivileeee

Alafu ana Jihusisha sijui na vikundi yaaan ana vikundi/vikoba/Visheti vingiiiii ila Hela yake haimtoshelezi yaan ana takiwa kila wiki apeleke kwa ujumla laki tatu + .

JUA KWAMBA, ANALIWA ILI APATE PESA YA VIKOBA.

Mkisema hayanihusu poaaa tu, nmemaliza........ila nmeandika kwa Uzoefu naoendelea kuuona.
Hakuna kitu kwenye maisha yangu nachukia kama vicoba. Kitu kinaitwa vicoba. Wanawake wanutuhunyesha kwasababu za vicoba na vikundi mbalimbali. Mimi sitakaa nimruhusu mke wangu ajiunge kwenye hivi vikundi
 
Mambo yasiwe mengi, na mengi yasiwe mambo.

Carlos The Jackal nasemaje, wewe kama una mke yaani umeoa, halafu unajua kabisa mkeo kazi yake ya kawaida tu, nasio kwamba wee mwanaume una pesa kivile halafu ana Jihusisha sijui na vikundi yaaan ana vikundi/vikoba/Visheti vingiiiii ila Hela yake haimtoshelezi yaan ana takiwa kila wiki apeleke kwa ujumla laki tatu.

JUA KWAMBA, ANALIWA ILI APATE PESA YA VIKOBA. Mkisema hayanihusu poa tu, nmemaliza ila nmeandika kwa uzoefu naoendelea kuuona.

Muhimu ni KUSHIRIKIANA na MKEO.

Kama anafanya SIRI anakuficha hilo ni TATIZO Jingine
 
Kabla ya kuwa na uzoefu nilikuwa naonaga kushauri mwanandoa Jambo rahisi sana.ni ngumuu
Yaani ogopa sana watu wanaolala pamoja.ni ngumu kuwaachanisha.mimi kwa kweli Sasa hivi kesi ya wanandoa siweki neno.huwa nasume ni Mimi.
Tatizo huwa linaanzia kwenye kosa.

Kinachosababisha wanandoa kutoelewana mara nyingi huwa hakiwekwi wazi mbele ya wasuluhishi.

Utabaki kusuluhisha kosa ambalo si kosa.
 
Hatuchezi michezo kwa ajili ya njaa boss
Tuseme Mimi nafanya biashara mwezi huu wa sita let say natakiwa kulipa Kodi ya mwaka 6m
Kuna mchezo nacheza kwa siku tuseme elfu 30 na tupo 50 tu minimum.j
Kuliko nitoe 6 m kwa mwenye nyumba at per kutoka kwenye biashara yangu nacheza majina matatu tu najazia Kodi nyingine narudisha mdogo mdogo nazungusha.kama huzalishi michezo na vicoba utaona mateso.ila wajanja wanamake sana.kuna michezo hadi ya milioni mtu unapata mtaji kabisa Bila riba na unafanya mambo.ya maana.
Miss Natafuta kwa nn ucheze mchezo km una uhakika wa kupata elf 90 kwa siku why usiweke kwenye simu ambayo licha ya kuwa pesa yako inakuwa safe zaidi bado inakuwa na faida kuliko kucheza mchezo. Kucheza mchezo kwanza ni risk, kijumbe anaweza kuondoka na hela. Lkn pia huwa kuna kunakumlipa kijumbe.
 
@Miss Natafuta kwa nn ucheze mchezo km una uhakika wa kupata elf 90 kwa siku why usiweke kwenye simu ambayo licha ya kuwa pesa yako inakuwa safe zaidi bado inakuwa na faida kuliko kucheza mchezo. Kucheza mchezo kwanza ni risk, kijumbe anaweza kuondoka na hela. Lkn pia huwa kuna kunakumlipa kijumbe.
Kama nakuwa wa kwanza kupokea? Hela haiwekwi inazungushwa
 
Hatuchezi michezo kwa ajili ya njaa boss
Tuseme Mimi nafanya biashara mwezi huu wa sita let say natakiwa kulipa Kodi ya mwaka 6m
Kuna mchezo nacheza kwa siku tuseme elfu 30 na tupo 50 tu minimum.j
Kuliko nitoe 6 m kwa mwenye nyumba at per kutoka kwenye biashara yangu nacheza majina matatu tu najazia Kodi nyingine narudisha mdogo mdogo nazungusha.kama huzalishi michezo na vicoba utaona mateso.ila wajanja wanamake sana.kuna michezo hadi ya milioni mtu unapata mtaji kabisa Bila riba na unafanya mambo.ya maana.
Kwanini usifungue fixed account uwe unaweka hela huko
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom