Vikindu, Kisamvule, Mkuranga, Mwalusemde au Kimanzichana naweza kupata....

SHAIDI

JF-Expert Member
Aug 23, 2014
291
141
Habari wana jamvi, mimi ni mjasiliamali nimeanza kutengeneza mabanda kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe naomba kujuzwa kama naweza kupata vifaranga vya nguruwe maeneo tajwa hapo juu. hata kama nitahitajika kuweza oda ya vifaranga vya nguruwe au kama kuna mwanajamvi anafahamihana na mtu yeyeto mwenye kujishughurisha na ufugaji wa nguruwe maeneo hayo nitashukuru kupata mawasiliano yake.

pia tunaweza kushirikishana kwa kupeana mbinu na changamoto kwenye ufugaji wa nguruwe na kuku wa kienyeji katika maeneo tajwa hapo juu
nimeanza shughuri ya ufugaji katika kijiji cha miteza, wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani.
no yangu 0765510492
0715034565
 
Habari wana jamvi, mimi ni mjasiliamali nimeanza kutengeneza mabanda kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe naomba kujuzwa kama naweza kupata vifaranga vya nguruwe maeneo tajwa hapo juu. hata kama nitahitajika kuweza oda ya vifaranga vya nguruwe au kama kuna mwanajamvi anafahamihana na mtu yeyeto mwenye kujishughurisha na ufugaji wa nguruwe maeneo hayo nitashukuru kupata mawasiliano yake.

pia tunaweza kushirikishana kwa kupeana mbinu na changamoto kwenye ufugaji wa nguruwe na kuku wa kienyeji katika maeneo tajwa hapo juu
nimeanza shughuri ya ufugaji katika kijiji cha miteza, wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani.
no yangu 0765510492
0715034565

mkuu fika mkuranga ulizia kwa masister watakupeleka kule huwezi kukosa
 
Kuwapa kero watu tu! asilimia 95% ya wakazi wa huko ni waislam wewe unawapelekea kitimoto si kuwasababishia nuisanse bure? Kwenye ujasiriamali pamoja na kutafuta faida kuna haja ya kuangalia social implication ya investment yako
 
Habari wana jamvi, mimi ni mjasiliamali nimeanza kutengeneza mabanda kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe naomba kujuzwa kama naweza kupata vifaranga vya nguruwe maeneo tajwa hapo juu. hata kama nitahitajika kuweza oda ya vifaranga vya nguruwe au kama kuna mwanajamvi anafahamihana na mtu yeyeto mwenye kujishughurisha na ufugaji wa nguruwe maeneo hayo nitashukuru kupata mawasiliano yake.

pia tunaweza kushirikishana kwa kupeana mbinu na changamoto kwenye ufugaji wa nguruwe na kuku wa

Kisemvule hawataki ufugaji wa kitimoto peleka sehem nyingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom