Mwenye ufafanuzi atujuze;
1. Ikiwa hospital ya Muhimbili ni hospital ya TAIFA ipi sababu ya kuhifadhi mwili wa viongozi wa kitaifa hospital ya Lugalo?
2. Je, Vikao vya maandalizi/kamati ya misiba ya kitaifa hulipwa posho?
3. Ni misiba ya viongozi gani inastahili kuitwa msiba ya kitaifa
Mwenye ufafanuzi majibu tafadhari!
1. Ikiwa hospital ya Muhimbili ni hospital ya TAIFA ipi sababu ya kuhifadhi mwili wa viongozi wa kitaifa hospital ya Lugalo?
2. Je, Vikao vya maandalizi/kamati ya misiba ya kitaifa hulipwa posho?
3. Ni misiba ya viongozi gani inastahili kuitwa msiba ya kitaifa
Mwenye ufafanuzi majibu tafadhari!