Vikao lukuki vya Waziri Makamba na mabepari wa gesi na mafuta vinafikirisha

Huyu Makamba hadi anafika 2030 atasababisha vifo vya BP kwa wenye chuki naye wengi sana!! Mwanzo yalianza majungu kwa Mwigulu, yakaonekana hayana kiki, yamehamia kwa Makamba!! Kwa siku lazima "kakikundi ka chuki" kaanzishe threads si chini ya 10 kuhusu JM, jambo jema ni kwamba Kiongozi wa sasa haishi kwa kusikiliza "Wapika majungu wa mitandaoni walioshindwa maisha", Anaishi kwa Ethics za kiuongozi alizofundisha since akiwa kijana.
Wasichojua ni kwamba wanampa Airtime maana ana trend hatari.Anatakiwa tu ku handle vizuri hili suala la umeme vizuri,then mpaka 2025 nchi nzima itakuwa inamuimba.
 
Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?
Ukimuona 'mbwa' juu ya mti ujue kapandishwa!
Sasa anafanya kazi za 'aliyempandisha'
Aliyempandisha kuna 'viporo' vyake vililala, sasa kijana wake anamalizia.
Tuinuke wa Tz, tuinuke kizazi cha Nyerere kwani tunakwenda kubaki na mahandaki kama ilivyokuwa dhahabu!
 
Pamoja na sifa zilizopitiliza Magufuli ametuachia matatizo yote hayo ya umeme, madeni, hali ngumu ya maisha, n.k. Tunahitaji kubadilisha mfumo wa uongozi nchi hii, CCM ni laana kubwa.
Pole na kutemvea na bahasha za kaki mtaaani kutafuta ajira na demu wako kukuacha ssa naona unalalama
 
Mheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.

Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi

NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.

Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?

Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.
Hawa kina chongolo shaka et al ni wachumia tumbo tu. Tungetegemea positive critical actions toka kwao. Kazi kuzurura tu kula posho za safari.
 
Mheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.

Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi

NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.

Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?

Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.
Du!
 
Ukimuona 'mbwa' juu ya mti ujue kapandishwa!
Sasa anafanya kazi za 'aliyempandisha'
Aliyempandisha kuna 'viporo' vyake vililala, sasa kijana wake anamalizia.
Tuinuke wa Tz, tuinuke kizazi cha Nyerere kwani tunakwenda kubaki na mahandaki kama ilivyokuwa dhahabu!
Hakika
 
JPM alipambana akaondoa mgao,eti kijamaa kijuajijuaji kinakuja na movie mpya kila siku.
Ndio hapo sasa, kila siku wanatengeneza mazingira ya kutuaminisha kuwa kuna tatizo, ili wakileta suluhisho lao la kifisadi tusitilie shaka.
 
Mheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.

Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi

NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.

Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?

Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.
Wewe ambae sio pepari tunakuomba ukawekeze tupate pesa Mr Mzalendo
 
Mheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.

Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi

NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.

Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?

Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.
Mbona procurement na award of contract ya sgr, stiglers na ndege, ilikuwa na usiri?? Mkubwa. KWA hiyo naye alirudia makosa yale yale ya watangulizi wake??
 
Mbona procurement na award of contract ya sgr, stiglers na ndege, ilikuwa na usiri?? Mkubwa. KWA hiyo naye alirudia makosa yale yale ya watangulizi wake??
Haikuwa siri, serikali iliamua kuwa bypass madalali tu.

Kwamfano kwenye SGR wale madalali wamerudi tena, na ndio maana ulisikia mvutano wa tenda ya kipande cha tatu na nne (Makutopora-Tabora na Tabora-Isaka) ya TRC na PPRA.

Mapepari wanazidi kurudi kwenye mirija yao.
 
Mbona procurement na award of contract ya sgr, stiglers na ndege, ilikuwa na usiri?? Mkubwa. KWA hiyo naye alirudia makosa yale yale ya watangulizi wake??
Haikuwa siri, serikali iliamua kuwa bypass madalali tu.

Kwamfano kwenye SGR wale madalali wamerudi tena, na ndio maana ulisikia mvutano wa tenda ya kipande cha tatu ja nne ya TRC na PPRA.

Mapepari wanazidi kurudi kwenye mirija yao
 
Back
Top Bottom