The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,514
- 1,719
mkuu inalipa balaa, hata mm nikipata kibibi napita nachoHali ni mbaya mno Arusha mjini.
Ifike mahala sasa hawa vijana wetu tuwakumbushe kuna option B ya Maisha .
Wamekosa uwoga kabisa , kijana wa Rika la 20's unamkuta mnara wa saa pale au maeneo ya shoppers anakomkongoja Ajuza wake wa 70s bila haya usoni.
Hali ni mbaya.