babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,091
- 15,986
nipo kushoto hapo nawakilisha
Child Labour!! Joking.haha ha thnx
nipo kushoto hapo nawakilisha
sasa mkuu si unajua tena viongozi kura nazo wanachakachua ili wanufaike na hao wazungu,hamna cha kufanya zaidi ya kujipa raha.Ni burudani tosha, lakini vijana wetu wataishia hivi na kuacha malighafi (madini, mazao ya misitu na bahari) zikichukuliwa na wageni (wazungu), sababu vijana hawa akili zao zitakuwa zimelalia katika kuwaza mambo kama haya
dooh mkuu tayari mzuka na kiu kwel kwel sasa hapa.lunch time hii inabidi ku do the nidful stater.:smile-big:
dooh mkuu tayari mzuka na kiu kwel kwel sasa hapa.lunch time hii inabidi ku do the nidful stater.:smile-big: