Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Nimeshangaa sana kuona bendera ya pipooooz inapepea vijijini kabisa ambako kuna umaskini mkubwa sana na nyumba zao za nyasi. Ila sina hakika kama watalinda kura zao baada ya kumpa Dr Slaa.View attachment 15798