Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 86
Mm npo Dom Sasa na hivi wakipewa vyandarua hawa wazee wetu ni ngumu Sana kubadilika wenyew wanajua Mambo bad yaleyale , kwa vijana hamna shidaWananchi wanajua kwamba hiyo ni rushwa ya uchaguzi
Mm npo Dom Sasa na hivi wakipewa vyandarua hawa wazee wetu ni ngumu Sana kubadilika wenyew wanajua Mambo bad yaleyale , kwa vijana hamna shidaWananchi wanajua kwamba hiyo ni rushwa ya uchaguzi
Wewe ndiyo kichwa chako kimejaa kamasi kabisa, hivi unafahamu ni kwa kiasi gani Magufuli anamuogopa Lissu? Hata mbogo tu ambaye ni mnyama ukimpiga risasi ikamjeruhi bila kumuua nadhani shughuli yake kama huijui tuulize siye wawindaji.Huna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGA
Kweli kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu, miaka mitano iliyopita mlikua mnazungusha mikono halafu leo unauliza lowasa ni nani?Lowassa ndio nani??
Kuna tafaut 20000 Kati ya TL na EL
Eti Lisu ajulikani vijijini, Kama trump anajulikana vijijini sembuse Lisuuliona Lisu alivyofika CHato hakuthubutu kabisa kuuongelea.SEhemu zote alizopita usukumani kaanza kuogopa kuuongelea akiugusa tu anaqzomewa na watu
Kwahiyo waliojiandikisha ni wale wanaosombwa na malori kwenye mikutano ya CCM pekee?Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae