Vijana 500 wamekamatwa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakiwa wanapatiwa mafunzo yasiyo rasmi mafichoni.
Mkuu wa wilaya ya Moshi mh Mtanda amesema vijana hao wametoka katika mikoa mbalimbali na viongozi wao 6 wanahojiwa na polisi.
Source: ITV habaHongera
Hongera hii habari nilivyoina nilidhani huko mafichoni wanafundishwa ugaidiHii habari siyo nzuri na inasikitisha sana.
Vijana zaidi ya 500 waliokuwa wakipewa mafunzo juu ya ile biashara pendwa ya kujionyesha umefanikiwa kifedha na mali kutokana na mauzo ya virutubisho vy Global Alliance wametiwa mbaloni.
Kinachosikitisha ni pale ambapo viongozi wa serikali kusema vijana hao waliotoka mikoa mbalimbali, hawajui walikuwa wanapewa mafunzo gani wakati inafahamika mafunzo na biashara hiyo imekuwepo miaka kadhaa huko nyuma.
Ila na bado wapo kibao wazee wa pyramid schemes wakina sudii slaaa wa inclusive