Vijana wetu wana la kujifunza toka kwa kijana Msomi Tundu A. Lissu

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,890
14,344
Wakuu hamjambo?

Naomba niende kwenye hoja yangu juu ya huyu msomi na kijana anayetegemewa sana hapa nchi mheshimiwa sana ndugu Tundu A. Lissu, ambapo nimekuwa na maswali machache juu ya huyu mheshimiwa.

Kwanini hivi karibuni huyu Mheshimiwa sana amekuwa mtu wa kulia lia sana na kuanza kudai vipesa vidogo vidogo ambavyo hata Bunge halivitambui? Huenda maisha ya ughaibuni yamemshinda hii ni kutokana na wafadhiri wake kustisha luzuku kwake ,na kwakuwa yuko nchi za watu hana pa kushika ndo maana kila siku kujibizana na kuleta mipasho mitandaoni.

Kwanini amelalamikia suala la mheshimiwa IGP sirro kutojibu barua zake ambazo anadai eti apatiwe ulinzi na ahakikishiwe usalama ili arudi nchini?

Kwa nionavyo Mimi mheshimiwa sana Lissu ametumika sana na mabeberu yakiwa na matumaini kuwa huenda labda anapolitical influence kwa nchi yetu hivyo akiwa Rais yaweze kuvuna raslimali zetu bure na badala yake yameona hana jipya hivyo yamemtelekeza ndo maana anaanza kulialia akitaka kurudi nyumbani

Ushauri wangu kwa vijana na wasomi wa nchi hii naomba mtambue kuwa serikali inapoteza fedha nyingi kuwasomesheni ikiwa na matumaini kuwa mje muitumikie nchi nabadala yake mnageuka kuwa waasi dhidi ya taifa letu, kamwe huu sio uungwana hata kidogo maana taifa na wananchi walipa kodi hayo si Marengo mahususi ,vijana wasomi wajifunze kupitia kwa Lissu waone ni namna gani anapitia magumu na kujutia kwa kile alichokifanya kwa kuinajisi nchi huku ajlkijiapiza kuwa lazima nchi wahisani watutenge katika nyanja zote ,siasa za namna hii hazijengi kwani wote tunajenga nyumba moja haina haja ya kunyanganyana fito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla sija analyze jumla na kueleza zaidi naomba unijibu maswali yangu mawili:

1. Una uwakika Lissu alisomeshwa bure na serikali , lini na pesa zilitoka mfuko gani, au ni hisia zako? Hii ina maelezo yake zaidi baadae.

2. Lissu alikosa kuuwawa na muuwajibwake hajulikani mpaka sasa. Je huoni ni haki yake kikatiba kuhakikishiwa usalama wake ? Kama jukumu la jeshi la polisi kulinda usalama wa raia na mali zao ?

Hayo tujadili kwa sasa harafu tutamaliza maelezo ya jumla mwishoni.
Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..kilichomponza Lissu ni misimamo yake, rekodi yake ya kutetea rasilimali zetu, na uwezo wake wa kujenga hoja.

..baadhi ya watu hapa Tz walitishika na kuona kwamba atamfunika jiwe, kwamba jiwe hana uwezo wa kutetea hoja zake, na hana historia hiyo.

..jitihada za kumchafua kwa kumsingizia kuwa ana anatetea accacia ziligonga mwamba. Watanzania wanamuenzi na kumkumbuka kwa kutetea rasilimali tangu miaka ya 90 mgodi wa Bulyankulu ulipofunguliwa.

..juhudi za kumfunga kwa vikesi visivyokuwa na kichwa wala miguu zilionekana kuchukua muda mrefu, hivyo wahusika wakaamua kutumia short cut ya kumuua kwa shambulizi la kikatili.

..Tundu Lissu ataendelea kutambuliwa kama mtetezi wa kweli wa wanyonge wa nchi hii. Hakusubiri awe na madaraka. Hakusubiri awe na ulinzi wa dola.
 
Kuna siku alimtukana sana Nyerere mpaka waziri Lukuvi akaingilia hakuwa mtu wa maana


USSR
Duuh!
Mimi simkubali kabisa Lissu kutokana na lugha zake na jinsi alivyo changia sana kukwamisha malengo ya nchi yetu kwa matendo na maneno yake lakini hapa naona umevuka mipaka.

Naona kama nawewe unakosa busara na kufanya kosa lile lile la kutukana watu.
Lissu alitukana wazee wetu na wakubwa zake, sikufurahishwa na hilo na mtazamo wangu anaona alikosea sana.

Angalizo mtazamo wangu sio sheria na wala siyo muhimu sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi usome ulichokiandika

Sent using Jamii Forums mobile app

Rudi shule ukajifunze propaganda, hizi zako ni za kizee mno. Tundu Lisu hakupanda ndege ili kwenda ulaya kula bata. Alienda ulaya kutibiwa baada ya shambulio la kinyama, maana angekubali kutibiwa hapa nchini, hao hao walioagiza ashambuliwe baada ya kunusurika, wangeagiza huko hospitalini amaliziwe kwa kisingizio kuwa alivuja damu nyingi ili kupoteza ushahidi.

Sasa hivi yuko hai anadai chake maana hayuko ccm useme atapendelewa. Ni hivi, hata ulete propaganda za namna gani, bado anachosema Tundu Lisu na anayemtuhumu kwa shambulio hilo, ni huyo huyo na hamtutoi kwenye ukweli huo.
 
Nasikia analala kwenye stand za magari


USSR
Rudi shule ukajifunze propaganda, hizi zako ni za kizee mno. Tundu Lisu hakupanda ndege ili kwenda ulaya kula bata. Alienda ulaya kutibiwa baada ya shambulio la kinyama, maana angekubali kutibiwa hapa nchini, hao hao walioagiza ashambuliwe baada ya kunusurika, wangeagiza huko hospitalini amaliziwe kwa kisingizio kuwa alivuja damu nyingi ili kupoteza ushahidi. Sasa hivi yuko hai anadai chake maana hayuko ccm useme atapendelewa. Ni hivi, hata ulete propaganda za namna gani, bado anachosema Tundu Lisu na anayemtuhumu kwa shambulio hilo, ni huyo huyo na hamtutoi kwenye ukweli huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.Tundu Lissu ataendelea kutambuliwa kama mtetezi wa kweli wa wanyonge wa nchi hii.
Lissu alianza kuharibu mwenyewe wasifu huu alipoanza kuwa mtetezi wa mabeberu na kuitisha serikali kiasi cha kuanza kutukana wakubwa wake, waalimu wake na wengine ambao angalau walistahili heshima kama sio kwa taaluma zao basi kwa umri wao.

Lissu alikosea sana kutukana na kukejeli kazi za kitaalamu ambazo siyo taaluma yake.

Bora angekejeli mambo ya kisheria kwenye taaluma yake.
Alipata wapi ujasiri na uhalali wa kutukana ripoti ya tafiti ya kisayansi ya miamba, madini na mambo ya forodha/kodi?

Lissu alipotoka na kuingiza mihemko ya kisiasa kwenye taaluma, hili lazima aambiwe wakati huu ambapo anapata muda wa kutosha kuangalia nyuma wapi alikosea (now it's a good and proper time to reflect back where he went astray).

Let him know the truth, somewhere along the way our learned brother went wrong.
 
Alitetea kama nani.alitetea bure mawakili wa bongo kama madalali tu Kula kotekote na hapo ndio accacia alitaka kufanya vilevile



USSR
Lissu ameanza kutetea wananchi kwenye migodi kabla wazalendo uchwara hawajapata madaraka. Usidhani ukitapika vikonyagi vyako hapa jukwaani ndio utatupoteza maboya na hivyo vitusi vyako vya kipuuzi. Lisu alianza uzalendo bila kupata madaraka, hakusubiri madaraka ndio atetee wananchi. Tunafahamu nani mzalendo wa kweli wa nchi hii, na nani anajifanya mzalendo kisa madaraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Accacia ndio raslimali zako hivi we nyoka kubwa huwa unamafinyo kichwani


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

..aliyesamehe deni la usd 191 billion ndiyo MSALITI na amenunuliwa na accacia.

..pia kutofautisha accacia na barrick ni UTAPELI.

..kudai aliyetuibia ni accacia, na barrick ni kampuni safi ni ULAGHAI.

..na Jiwe alikuwa wapi kutetea rasilimali wakati wizi ulianza wakati wa mkapa na kuendelea wakati wa Jk?

..
 
Titicomb,
Hiyo ripoti ilisema tunadai $192b, je ule mkutano wa miezi mitatu tulidhibitisha hata deni la $1b? Huu ni mwaka zaidi ya wanne, je kuna popote tumedhibitisha kudai kiwango hicho cha fedha? Kuna chochote tumelipwa hadi sasa, hata kile tu kishika uchumba cha $300b?
 
Kama hujui kama tumelipwa na twiga kuundwa utakuwa kichwa maji tu


USSR
Hiyo ripoti ilisema tunadai $192b, je ule mkutano wa miezi mitatu tulidhibitisha hata deni la $1b? Huu ni mwaka zaidi ya wanne, je kuna popote tumedhibitisha kudai kiwango hicho cha fedha? Kuna chochote tumelipwa hadi sasa, hata kile tu kishika uchumba cha $300b?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom