Babeshi Mwamba
Senior Member
- Jan 7, 2013
- 196
- 38
Ni wazo kuu ni hivi kutegemea na soko la ajira kwa wenye taaluma mbalimbali limekua gumu napenda kuwaomba vijana wenzangu tuungane kwa pamoja kisheria tufanye jambo.
Kwanza nimeandaa mkakati mzima wa kufikia lengo kwa vile ninacholenga ni vijana wenye taaluma fulani ambao hawana kazi bado. Tutajiunga kisheria na tutafanya majukumu yetu kadri tunahitajiana.
Nawasilisha hayo niliyofikiri kwa ndugu zangu wenye changamoto ya ajira.Pia Tunapeana ushauri kwa aliyetayari pia mwisho nitatoa mawasiliano. Na itakua legal entity natumai nimeeleweka inbox hapana tuambiane hapa hapa. Pia natoa changamoto zangu huku nilipo sometimes network inasumbua kuna wakati mkiona kimya ndo hivyo.
Michango ni humu humu maana mainbox siku hizi utapeli mwingi.
Kwanza nimeandaa mkakati mzima wa kufikia lengo kwa vile ninacholenga ni vijana wenye taaluma fulani ambao hawana kazi bado. Tutajiunga kisheria na tutafanya majukumu yetu kadri tunahitajiana.
Nawasilisha hayo niliyofikiri kwa ndugu zangu wenye changamoto ya ajira.Pia Tunapeana ushauri kwa aliyetayari pia mwisho nitatoa mawasiliano. Na itakua legal entity natumai nimeeleweka inbox hapana tuambiane hapa hapa. Pia natoa changamoto zangu huku nilipo sometimes network inasumbua kuna wakati mkiona kimya ndo hivyo.
Michango ni humu humu maana mainbox siku hizi utapeli mwingi.