Vijana wenzangu wa UKAWA/CHADEMA zama zimebadilika kubalini hivyo

amina ngalo

JF-Expert Member
Jun 13, 2013
310
170
VIJANA WENZANGU WA UKAWA /CHADEMA ZAMA ZIMEBADILIKA KUBALINI HIVYO

Kumekuwepo maneno ya kejeli yanayotolewa na baadhi ya vijana wenzetu haswa wa CHADEMA /UKAWA kuwadhihaki baadhi ya makada wa wa CCM haswa wale tunaokipambania chama chetu mitandaoni kuwa tumeachwa kwenye uteuzi

Napenda tuu ifamike kuwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni mapenzi ya mtu binafsi tu nakama kunamtu kwenye siasa yupo kwaajili ya nafasi au kutarajia jambo basi anaweza kuja lia siku moja maana huwa siasa ina badilika.

CCM inazaidi ya wanachama milioni nane kwasasa umoja wa vijana wa CCM unazaidi ya wanachama wake milioni tatu nazaidi kama malengo nikulipa fadhila basi ilitakiwa tuwe na wilaya zaidi ya milioni nne kuwapa vijana wakwenye chama cha mapinduzi bado kuna jumuia ya wanawake Tanzania UWT pia ipo jumuia ya wazazi Tanzania na mkoa maalumu wa vyuo vikuu wote hawa walitakiwa walipwe fidia za ukuu wa wilaya kwa mawazo ya vijana wa UKAWA/CHADEMA.

Hali hii ya kumzushia na kumtengenezea mh rais matabaka siyo mzuri wala haina afya kwa nchi yetu pale vijana wa ukawa wanaposema vijana wa CCM Kanda ya Kaskazini tumeachwa huu niuchochezi kila siku CHADEMA mmefanya siasa za ukanda na udini bila mafanikio msituingize kwenye siasa zenu chafu.

Kumekuwepo na mbinu nyingi zinazolenga kumgawa mh rais Dr.John Magufuli na wanachama wemzake wa CCM pia kutaka kumchonganisha na watangulizi wake jambo hili halivumiliki hata kidogo tutalipiga vita jambo hili kwa nguvu zote nafasi za uteuzi anayeteua anamteua mtu ambaye anaweza msaidia na aliyemkubali yeye na siyo vingine hivyo tuwaunge mkono wale waliyo teuliwa na mh rais waweze kutekeleze majukumu yao.

Kwa wale ambao walikuwa kazini na wameachwa bado wananafasi mzuri sana yakuja kuliendeleza taifa huku uraiani, kama uliwaza kuteuliwa na hujateuliwa basi endelea na majukumu yako ya kila siku ya kujenga chama na nchi.

Imetolewa leo
Tar 27.6.2016
Martin Munisi
 
Chadema ni genge la mafisadi madili zao kila kijana mfuasi wa cdm aligombea ubunge/ udiwani ndiyo maana wanawaza vyeo
 
ukiwauliza wao wanawanachama wangapi idadi yao hawatakujibu....wengi wao humu hata ofisi za chama chao katika wilaya yao hawaijui wakati ccm wengi wanaccm tunakadi zetu na tunazilipia,sio kwasababu tunataka vyeo ni kwasababu tunaimani na chama chetu tutakikosoa kikiteleza na tutakipamba inapotakiwa full stop,nyie wengine msiojua hata na kadi afu mnalialia humu ukawa ukawa,ooh mara tumekosa ukuu wa wilaya nawaomba mjipange,kwanza kisaidieni chama chenu japo kwa kununua kadi za uanachama
 


VIJANA WENZANGU WA UKAWA /CHADEMA ZAMA ZIMEBADILIKA KUBALINI HIVYO

Kumekuwepo maneno ya kejeli yanayotolewa na baadhi ya vijana wenzetu haswa wa CHADEMA /UKAWA kuwadhihaki baadhi ya makada wa wa CCM haswa wale tunaokipambania chama chetu mitandaoni kuwa tumeachwa kwenye uteuzi

Napenda tuu ifamike kuwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni mapenzi ya mtu binafsi tu nakama kunamtu kwenye siasa yupo kwaajili ya nafasi au kutarajia jambo basi anaweza kuja lia siku moja maana huwa siasa ina badilika.

CCM inazaidi ya wanachama milioni nane kwasasa umoja wa vijana wa CCM unazaidi ya wanachama wake milioni tatu nazaidi kama malengo nikulipa fadhila basi ilitakiwa tuwe na wilaya zaidi ya milioni nne kuwapa vijana wakwenye chama cha mapinduzi bado kuna jumuia ya wanawake Tanzania UWT pia ipo jumuia ya wazazi Tanzania na mkoa maalumu wa vyuo vikuu wote hawa walitakiwa walipwe fidia za ukuu wa wilaya kwa mawazo ya vijana wa UKAWA/CHADEMA.

Hali hii ya kumzushia na kumtengenezea mh rais matabaka siyo mzuri wala haina afya kwa nchi yetu pale vijana wa ukawa wanaposema vijana wa CCM Kanda ya Kaskazini tumeachwa huu niuchochezi kila siku CHADEMA mmefanya siasa za ukanda na udini bila mafanikio msituingize kwenye siasa zenu chafu.

Kumekuwepo na mbinu nyingi zinazolenga kumgawa mh rais Dr.John Magufuli na wanachama wemzake wa CCM pia kutaka kumchonganisha na watangulizi wake jambo hili halivumiliki hata kidogo tutalipiga vita jambo hili kwa nguvu zote nafasi za uteuzi anayeteua anamteua mtu ambaye anaweza msaidia na aliyemkubali yeye na siyo vingine hivyo tuwaunge mkono wale waliyo teuliwa na mh rais waweze kutekeleze majukumu yao.

Kwa wale ambao walikuwa kazini na wameachwa bado wananafasi mzuri sana yakuja kuliendeleza taifa huku uraiani, kama uliwaza kuteuliwa na hujateuliwa basi endelea na majukumu yako ya kila siku ya kujenga chama na nchi.

Imetolewa leo
Tar 27.6.2016
Martin Munisi
 
Huyu Mbunge wa CCM Mabula pamoja na baadhi ya Wabunge wa CCM waliona umuhimu wa kuungana na Wabunge wa upinzani kumpinga jipu mbaka demokrasi bungeni Tulia, lakini baada ya kutishwa kufukuzwa CCM na hivyo kupoteza ubunge wakaamua kuufyata.

 
Kisu kimegusa mfupa.Chama kina wenyewe mkome kutumika kama tishu.
 
Ukawa kutwa wao ni kuona watawezaje walau kumchonganisha rais iwe na watangulizi wake, iwe kikanda ama hata kidini. Wako busy na siasa za kuzimu, tunawaapia haki ya Mungu na hazitawasaidia kamwe. Waendelee ila wao wenyewe wataelewa
 
CCM ni Chama kikubwa barani Africa. Ndio chama pekee chenye nguvu kubwa Africa.
Duniani kinaweza kushika nafasi ya 22.

CHADEMA ni chama kidoooooogo na hakijulikani hata burundi.

Kwahiyo hawa vijana wa UKAWA waache kabisa kudhani kwamba CCM ni chama cha mchezo.
Wajenge chama chao kilichapoteza welekeo.
Mbowe anaona taabu sana kuweka chama njiani. Chama kilichopoteza mwelekeo. Kuanza upya tena. Anaona mbele miaka 22 inamsubiri ili angalau aweze kukirudisha njiani. Basi anaona kheri aanze siasa za maji taka na kusubiri matukio.
 
CCM ni Chama kikubwa barani Africa. Ndio chama pekee chenye nguvu kubwa Africa.
Duniani kinaweza kushika nafasi ya 22.

CHADEMA ni chama kidoooooogo na hakijulikani hata burundi.

Kwahiyo hawa vijana wa UKAWA waache kabisa kudhani kwamba CCM ni chama cha mchezo.
Wajenge chama chao kilichapoteza welekeo.
Mbowe anaona taabu sana kuweka chama njiani. Chama kilichopoteza mwelekeo. Kuanza upya tena. Anaona mbele miaka 22 inamsubiri ili angalau aweze kukirudisha njiani. Basi anaona kheri aanze siasa za maji taka na kusubiri matukio.
CCM ipo madarakani kwa vile vyama vingine havijitambui, viongozi wake hawajitambui, hawana long-term plan ya kukiondoa madarakani.

Viongozi wa upinzani wanadhani kwa kuwasha moto wa mabua (kubadilisha gia hewani) wanaweza kushika dola, haiwezi kutokea unless kambi ya upinzani ijipange strategically.

Lakini pia, CCM wanaongoza taifa lenye mbumbumbu wengi, elimu duni, ushabiki mwingi hivyo itachukua miaka mingi sana kuwaondoa hawa jamaa. Usijisifu kuwa chama chako kina nguvu, jisifu kuwa watz wengi bado sana...
 
Ni kweli zama zimebadilika, kwa maana huko nyuma tulikuwa na utawala wa kidemokrasia lakini sasa tuna utawala wa kiimla. Nawaasa vijana wa CHADEMA/UKAWA wawe makini sana, la sivyo watafurika magerezani kwa maana kila anayethubutu kukosoa watawala anapelekwa lupango huku wengine wakifichwa kwenye makambi maalum kama alivyofichwa Sosopi.
 
VIJANA WENZANGU WA UKAWA /CHADEMA ZAMA ZIMEBADILIKA KUBALINI HIVYO

Kumekuwepo maneno ya kejeli yanayotolewa na baadhi ya vijana wenzetu haswa wa CHADEMA /UKAWA kuwadhihaki baadhi ya makada wa wa CCM haswa wale tunaokipambania chama chetu mitandaoni kuwa tumeachwa kwenye uteuzi

Napenda tuu ifamike kuwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni mapenzi ya mtu binafsi tu nakama kunamtu kwenye siasa yupo kwaajili ya nafasi au kutarajia jambo basi anaweza kuja lia siku moja maana huwa siasa ina badilika.

CCM inazaidi ya wanachama milioni nane kwasasa umoja wa vijana wa CCM unazaidi ya wanachama wake milioni tatu nazaidi kama malengo nikulipa fadhila basi ilitakiwa tuwe na wilaya zaidi ya milioni nne kuwapa vijana wakwenye chama cha mapinduzi bado kuna jumuia ya wanawake Tanzania UWT pia ipo jumuia ya wazazi Tanzania na mkoa maalumu wa vyuo vikuu wote hawa walitakiwa walipwe fidia za ukuu wa wilaya kwa mawazo ya vijana wa UKAWA/CHADEMA.

Hali hii ya kumzushia na kumtengenezea mh rais matabaka siyo mzuri wala haina afya kwa nchi yetu pale vijana wa ukawa wanaposema vijana wa CCM Kanda ya Kaskazini tumeachwa huu niuchochezi kila siku CHADEMA mmefanya siasa za ukanda na udini bila mafanikio msituingize kwenye siasa zenu chafu.

Kumekuwepo na mbinu nyingi zinazolenga kumgawa mh rais Dr.John Magufuli na wanachama wemzake wa CCM pia kutaka kumchonganisha na watangulizi wake jambo hili halivumiliki hata kidogo tutalipiga vita jambo hili kwa nguvu zote nafasi za uteuzi anayeteua anamteua mtu ambaye anaweza msaidia na aliyemkubali yeye na siyo vingine hivyo tuwaunge mkono wale waliyo teuliwa na mh rais waweze kutekeleze majukumu yao.

Kwa wale ambao walikuwa kazini na wameachwa bado wananafasi mzuri sana yakuja kuliendeleza taifa huku uraiani, kama uliwaza kuteuliwa na hujateuliwa basi endelea na majukumu yako ya kila siku ya kujenga chama na nchi.

Imetolewa leo
Tar 27.6.2016
Martin Munisi
Wafanye kama timu ya mpira wa miguu, pete na kikapu. Mchezaji aliye nje ni wa muhimu katika timu. Umuhimu wake ni kumfanya aliyepo kiwanjani kufanya kazi yake kwa ufanisi kwa kuhofia kufanyiwa mabadiriko na hata kupoteza namba yake. Mchezaji amabaye anajua kuwa hakuna mchezaji anayeweza kuchukua namba yake huringa na kuigharimu timu.
Hivyo vijana ambao hawakupata uteuzi wasife moyo kwani hata huko waliko mchango wao utaonekana kwa hawa wakuu wa wilaya wapya kuchapa kazi kwa bidii kwa hofu ya kubadilishwa. Nafasi zipo nyingi bado hazijajazwa huenda baadhi mtakuwa huko. Mkionesha chuki na kukata tamaa na kufanya hujuma itatoka tafasiri kuwa mwanasiasa mzuri ni asiyeelimika kiwango cha chuo na vyama vya siasa huenda vikapunguza kuwategemea sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom