Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu Mkuu. Jokingly! Jokinglyhaki ya Mungu wewe ndiye ambaye ungetafunwa jokingly.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Huyo unamlaje Mkuu FK21 , mnaingia akiwa girl unafika Getho tayari ameshakuwa dume, anakwambia tu naomba chai nikutafune! Sala zote za Chuo kidogo Cha Sala na Katekisimu zinakwama!
Mkuu wewe, unamtamani unaemwona wapi Mkuu?Ahahahah...
Nilishajiwekea utaratibu wa kutogeuka kuangalia mwanamke kwa nyuma..ile tabia yetu wanaume..same pia kumtamani mwanamke naemuona barabarani just in case.
Never
Hao mie nimewatembezea bakora sana mkoani Tabora miaka ya nyuma walikuwa wengi sana mkoa ule nimepiga sana ilifikia kipindi hata binadamu wa kawaida nilikuwa naona wananizingua isipokuwa hao wa miguu ya kwako sema nilipata changamoto kidogo nilipotaka kuoa binadamu mwenzangu wao lengo kuu uzae nao tu basi ila bange na kitimoto zilisaidia sana mpk sasa ninapoandika nimepuliza cha jamaica
Kwenye routine zile za mara kwa mara mkuu..like chuo au ofcn au frnd mtandaoni ..atleast tuwe na ka tendency ka kukutana hatabkama hatuna mazoea.Hapo huwa ndio huwa najikuta natokea kumtaman mtu