Spark
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,024
Nawaasa vijana wenzangu,tufanye kazi kwa bidii na kuhifadhi fedha zetu ili ziweze kutusaidia ktk matatizo yetu yabaadae! Unampaje mwanamke fedha kizembe tena ambae hana mda naww! Et umempenda? N mama ako mzazi huyo au umezaliwa nae?? Ukiwa na shida anakusaidia nn zaidi ya kukucheka! Tubadilike jmn saiv ndo muda wa kumek..sasa ww jifanye kidume sana tutakutana uzeeni! Povu ruksa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app