Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,013
- 173,661
Hahahah kuna mbinu tu anajua ata exit mwisho na kutakuwa hamna kesi, sahizi naona ameunda jopo la wanaijeria sio wakaburu kama forex 😅😅😅Haya mambo unaweka hela unaambiwa inaingia kwenye walleti halafu hata hiyo walleti yenyewe huioni mwisho wa siku unapata magonjwa ya moyo tu na presha🤣