thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Nimefanya Tathmini zangu mwenyewe nimekuja kugundua kuwa Vijana wengi wa Kike na Kiume wa zama hizi hawana kabisa Elimu ya Ndoa na Ujenzi wa Familia zao...Haraka haraka hii Teknolojia imetuharibia vijana wetu sana. Kuna namna kama wazazi tunatakiwa kufanya kwa watoto wetu wa Kike na wa Kiume ili kuwaokoa.....