Vijana wengi wa CHADEMA ni mawakala wa CCM, wapo CHADEMA kwa njaa tu

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,877
32,270
Wanaukumbi.

Vijana wengi ambayo wapo Chadema na vyama vya upinzani wengi wao ni mawakala wa CCM.

Vijana wengi wapo Chadema kwa kwa kazi maalumu. Tatizo kubwa ni tamaa na njaa bahati mbaya ndani ya Chadema hawajui kinachoendelea.

Mfano ulikuwa kipindi cha uchaguzi kwenye kampeni walikuwa na mgombea wa CCM baada ya mgombea wa CCM kushinda sasa hivi wapo Chadema mimi siongei mengi picha hii inaongea.

images-19.jpeg


images-11.jpeg


Tuachane na Josephat Gwajima anayejiita ni mchungaji japo sijui nani alimtunuku uchungaji na kwavigezo vipi, yeye hana tofauti na sigara kaliAliyekuwa anaamini Kingunge ni kiongozi wa kitaifa atafakari upya,Jiulizeni kwa nini hakupata nafasi ya juu kama Mzee Kawawa enzi ya mwalimu?Ni Kingunge huyuhuyu alifukuzwa ukuu wa mkoa singida na Mwalimu Nyerere, leo anajivika chanda cha Mwalimu.Lowa alifukuzwa uanachama wa TANU kwakosa la kuiba pesa ya ujenzi wa ofisi za umoja wa vijana wa Tanu jijini Arusha yeye akiwa ni katibu wa vijana mkoa.

Ni Moringe na baadhi ya wazee waliopiga magoti kumuombea punguzo la adhabu na hivyo akapewa adhabu ya kuwepo Lumumba tu bila kazi yoyote kwa mda wa mwaka mzima.Katibu wa vijana TANU Taifa ndugu Elly Anangisye alifukuzwa moja kwa moja na ubunge wa Rungwe akavuliwa.

Alipofariki tu Mzee Nyeree, Lowasa na kundi lake walifanya party na kupongezana, wengine walipigiana simu hata kabla hajafa kuwa kikwazo kimeondoka,Leo kutangaza nia ya urais wanamtaja Mwalimu kama mbeleko.

Rip J.K Nyerere

BY Yericko Nyerere/JF

Link hii hapa chini.
http://www.google.com/url?sa=t&sour...ml?m=0&usg=AFQjCNGap3ldGVa8fOmmQ1Bd3mQSK4xh8A
 
Umejitahidi sana.Kumbuka hiyo siyo account ya Yeriko.Pole lakini
 
Ritz hao jamaa ni genge la walaji...fursa ikitokea hawachezi mbali...yani wanashughulika na matumbo yao tu. Aje fisadi sawaa alimradi awe na noti tu.
 
Yeriko anajuta sana kujiingiza kwenye siasa za upinzani. Ndo maana kwa sasa ameamua kufanya yake
 
Katika yote aliyoyafanya Lowassa, ninachompongeza ni uamuzi wake wa kuhamia CHADEMA.

Lowassa kuhamia CHADEMA kulifunia wale wote waliokuwa wametuaminisha kwa muda mrefu kuwa ni wazalendo na wako tayari hata kufungwa gerezani kuliko kushirikiana na mtu ambaye ni fisadi.

Uamuzi wa Lowassa kuhamia CHADEMA umetufanya kutambua yupi alikuwa ni fisi aliyekosa fursa na kuamua kuvaa ngozi ya kondoo.

Ama kweli, ukweli hucheleweshwa lakini hauwezi kufichwa milele.
 
Katika yote aliyoyafanya Lowassa, ninachompongeza ni uamuzi wake wa kuhamia CHADEMA.

Lowassa kuhamia CHADEMA kulifunia wale wote waliokuwa wametuaminisha kwa muda mrefu kuwa ni wazalendo na wako tayari hata kufungwa gerezani kuliko kushirikiana na mtu ambaye ni fisadi.

Uamuzi wa Lowassa kuhamia CHADEMA umetufanya kutambua yupi alikuwa ni fisi aliyekosa fursa na kuamua kuvaa ngozi ya kondoo.
Wazalendo waliobadilika kuwa watetezi wa fisadi
 
Katika yote aliyoyafanya Lowassa, ninachompongeza ni uamuzi wake wa kuhamia CHADEMA.

Lowassa kuhamia CHADEMA kulifunia wale wote waliokuwa wametuaminisha kwa muda mrefu kuwa ni wazalendo na wako tayari hata kufungwa gerezani kuliko kushirikiana na mtu ambaye ni fisadi.

Uamuzi wa Lowassa kuhamia CHADEMA umetufanya kutambua yupi alikuwa ni fisi aliyekosa fursa na kuamua kuvaa ngozi ya kondoo.

Ama kweli, ukweli hucheleweshwa lakini hauwezi kufichwa milele.
Sasa haya unayoyaongea yanawiana vipi na madai!
 
Wanaukumbi.

Vijana wengi ambayo wapo Chadema na vyama vya upinzani wengi wao ni mawakala wa CCM.

Vijana wengi wapo Chadema kwa kwa kazi maalumu. Tatizo kubwa ni tamaa na njaa bahati mbaya ndani ya Chadema hawajui kinachoendelea.

Mfano ulikuwa kipindi cha uchaguzi kwenye kampeni walikuwa na mgombea wa CCM baada ya mgombea wa CCM kushinda sasa hivi wapo Chadema mimi siongei mengi picha hii inaongea.

View attachment 348230

View attachment 348233
Pole sana akili ndogo! Hivi unashindwaje kuwaambia watu kua haya yalikua yakifanyika kabla ya uchaguzi? Ungeweka na muda wakati yanaandikwa hayo! Mpaka leo na hata kesho Majority Chadema wanakubali kua Kazi ya u waziri Magufuli aliitendea haki lakini kwa urais hakuna anayemkubali! tatizo liko wapi hapo? Nijuavyo Mimi Yericko hajawahi kua ccm kamwe na hawezi kua.
 
Msomeni huyu kijana anavyowaelezea Lowassa na Kingunge daah saisa hizi.

Hawa walisherekea kifo cha Mwalimu Nyerere, leo wanamtumia kuutaka urais! | UDAKU SPECIAL BLOG.

Tuachane na Josephat Gwajima anayejiita ni mchungaji japo sijui nani alimtunuku uchungaji na kwavigezo vipi, yeye hana tofauti na sigara kaliAliyekuwa anaamini Kingunge ni kiongozi wa kitaifa atafakari upya,Jiulizeni kwa nini hakupata nafasi ya juu kama Mzee Kawawa enzi ya mwalimu?Ni Kingunge huyuhuyu alifukuzwa ukuu wa mkoa singida na Mwalimu Nyerere, leo anajivika chanda cha Mwalimu.Lowa alifukuzwa uanachama wa TANU kwakosa la kuiba pesa ya ujenzi wa ofisi za umoja wa vijana wa Tanu jijini Arusha yeye akiwa ni katibu wa vijana mkoa,Ni Moringe na baadhi ya wazee waliopiga magoti kumuombea punguzo la adhabu na hivyo akapewa adhabu ya kuwepo Lumumba tu bila kazi yoyote kwa mda wa mwaka mzima.Katibu wa vijana TANU Taifa ndugu Elly Anangisye alifukuzwa moja kwa moja na ubunge wa Rungwe akavuliwa.Alipofariki tu Mzee Nyeree, Lowasa na kundi lake walifanya party na kupongezana, wengine walipigiana simu hata kabla hajafa kuwa kikwazo kimeondoka,Leo kutangaza nia ya urais wanamtaja Mwalimu kama mbeleko.

Rip J.K Nyerere

BY Yericko Nyerere/JF
 
Wanaukumbi.

Vijana wengi ambayo wapo Chadema na vyama vya upinzani wengi wao ni mawakala wa CCM.

Vijana wengi wapo Chadema kwa kwa kazi maalumu. Tatizo kubwa ni tamaa na njaa bahati mbaya ndani ya Chadema hawajui kinachoendelea.

Mfano ulikuwa kipindi cha uchaguzi kwenye kampeni walikuwa na mgombea wa CCM baada ya mgombea wa CCM kushinda sasa hivi wapo Chadema mimi siongei mengi picha hii inaongea.

View attachment 348230

View attachment 348233

Huyu Yeriko kwa sasa analima bamia Mbutu.
 
Back
Top Bottom