kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 314
- 1,121
Aman iwe juu yenu wakuu
Katika tembea yangu nchin Tanzania nimegundua kuwa vijana wengj nchin Tanzania ni machinga
Na ni machinga wenye mitaji ya elf kumi kurud chini na wengi wao Maisha yao ni magumu sana had unawaonea huruma na biashara yao hiyo haiwalipi kabisa
Unamkata kujana anauza soksi na heren kabeba mkononi kachoka kapauka ile mbaya
Selikari ijitaid kuwajengea vijana manzigira mazur ya kuwa na Maisha bora, selikar imejisahau sana kuhusu hilo vijana wanateketea
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika tembea yangu nchin Tanzania nimegundua kuwa vijana wengj nchin Tanzania ni machinga
Na ni machinga wenye mitaji ya elf kumi kurud chini na wengi wao Maisha yao ni magumu sana had unawaonea huruma na biashara yao hiyo haiwalipi kabisa
Unamkata kujana anauza soksi na heren kabeba mkononi kachoka kapauka ile mbaya
Selikari ijitaid kuwajengea vijana manzigira mazur ya kuwa na Maisha bora, selikar imejisahau sana kuhusu hilo vijana wanateketea
Sent using Jamii Forums mobile app