Vijana wengi kwa sasa Tanzania wanajichubua kwasababu ya ubaguzi wa kifamilia na kijamii

Vijana wa kiume na wa kike sasa hivi wanajichubua kwasababu ya ubaguzi na upendeleo unaokuwepo ktk jamii

Mfano unakuta mtoto anakosea mzazi anamwambia kwamba amefanya hivyo na ndo maana tu mungu alimuumba mweusi

Mweusi kama chungu cha mchawi

Wewe ni mweusi hadi huko rohoni kwangu

Una uzuri gani wewe mweusi kama mkaa!

Tatizo wewe ni mweusi sana yaani mbayaa

Ila jamaa wewe ni mweusi aisee sijui huko kwenu ulitokea wapi

Wazazi wako sisi ni weupe hata sijui ilikuaje tukakuzaa ww ukawa mweusi kuliko watoto wote

Wazazi na jamii kuonyesha mapenzi kwa watoto au watu weupe huku wale weusi wakiachwa tu unakuta mzazi anampenda mtoto mweupe na kuonyesha mapenzi ya waziwazi dhidi ya yule mweusi.

Jamii ya kitanzania inaongoza kwa kuwabagua watu weusi nazungumzia mtu ambaye ni mweusi yaani cheusi mangala

Huko mashuleni ndo usiseme na utani wa hapa na pale, ukigombana tu na mtu cha kwanza anaanza kukushambulia na ngozi yako kwanza kwenda huko ndo maana wewe ni mweusi, peleka weusi wako huko, lione leusi.

Mwishoni kaka wa watu au dada wa watu anaanza kujichubua tu, ubaguzi unauma sana asikwambie mtu bora hata kuuawa kuliko kubaguliwa au maneno ya ubaguzi
Mawazo ya kipimbi sana hayo!
 
Vijana wa kiume na wa kike sasa hivi wanajichubua kwasababu ya ubaguzi na upendeleo unaokuwepo ktk jamii

Mfano unakuta mtoto anakosea mzazi anamwambia kwamba amefanya hivyo na ndo maana tu mungu alimuumba mweusi

Mweusi kama chungu cha mchawi

Wewe ni mweusi hadi huko rohoni kwangu

Una uzuri gani wewe mweusi kama mkaa!

Tatizo wewe ni mweusi sana yaani mbayaa

Ila jamaa wewe ni mweusi aisee sijui huko kwenu ulitokea wapi

Wazazi wako sisi ni weupe hata sijui ilikuaje tukakuzaa ww ukawa mweusi kuliko watoto wote

Wazazi na jamii kuonyesha mapenzi kwa watoto au watu weupe huku wale weusi wakiachwa tu unakuta mzazi anampenda mtoto mweupe na kuonyesha mapenzi ya waziwazi dhidi ya yule mweusi.

Jamii ya kitanzania inaongoza kwa kuwabagua watu weusi nazungumzia mtu ambaye ni mweusi yaani cheusi mangala

Huko mashuleni ndo usiseme na utani wa hapa na pale, ukigombana tu na mtu cha kwanza anaanza kukushambulia na ngozi yako kwanza kwenda huko ndo maana wewe ni mweusi, peleka weusi wako huko, lione leusi.

Mwishoni kaka wa watu au dada wa watu anaanza kujichubua tu, ubaguzi unauma sana asikwambie mtu bora hata kuuawa kuliko kubaguliwa au maneno ya ubaguzi
Mbona mi jamani napenda wanawake weusi mpaka naumwa. Yan nikiiona hiyo rangi mahali nachanganyikiwa! Au nipo mwenyewe?
 
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.

Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Aisee katika experience nilivyowahi kusikia wanawake mbalimbali, 80% ya wanawake hawapendi wanaume weupe. Kuna rafiki yangu nilikuwa nae alikuwa anapata tabu sana, kila nikienda nae mahali, mi mweusi nabeba goma, nikijaribu kumuunganishia kungine, jibu linakuja hawapendi mwanaume mweupe. Pole mkuu, endelea kujipa moyo
 
Acha uongo, mwanaume unakiganja laini kwani wewe ni dada!?
Sasa niwe na kiganja kigumu cha nini? Ili iweje?sihitaji kiganja kigumu na mke wangu anataka mkono laini wa kumpapasia....sababu ana ngozi laini kwa nini asuguliwe na msasa? Magume gume ndo yatataka kiganja kigumu maana ngozi zao zimekuwa sugu.
 
Ewaaah... Mwanaume mweupe anaringa na bado wanawake watajisogeza maana wanajua kabisa ukiachana na mwanaume mweupe haichukui muda wanawake wanajiweka.

Hili nina ushahidi nalo kuanzia primary hadi chuo nimekuwa nikibabaikiwa sana na wasichana kwasababu ya weupe tu.

Na kiburi ninacho kweli lakini ntabembelezwa weeee hata kama kosa langu.

Ukweli mchungu tuache kujifariji maana kuwa mweusi tu inaonekana kama ni laana hivi. Yaani kama binadamu wa nyongeza tu.
Ukiwa ulaya unaitwa black, hivi vitu ni relative sana

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom