Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Katika kuhangaikia maisha aliyosema rais wetu naniii kwa kila mtanzania
vijana wawili wamenyakwa jioni hii wakitoeka oman na oman air wakituhumiwa kubeba madawa ya kulevya
na muda huu wamepelekwa chooni na mmoja wao ameshaanza kutema yale mambo yetu
bwana ametoa
gvt wanatwaa
vijana wawili wamenyakwa jioni hii wakitoeka oman na oman air wakituhumiwa kubeba madawa ya kulevya
na muda huu wamepelekwa chooni na mmoja wao ameshaanza kutema yale mambo yetu
bwana ametoa
gvt wanatwaa