MIUNDOMBINU
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 465
- 96
Ninahitaji vijana wawili kwa ajiri ya kazi zifuatazo;
Sifa za muombaji.
Maombi yote yatumwe kwa njia ya e-mail hii hapa chini;
miundombinu2010@yahoo.com.
Au unaweza kunipigia simu kwa maelekezo zaidi. Piga no.0786190200.
Asanteni.
- Kufanya usafiri katika eneo la kazi.
- Kusimamia utoaji na uingizaji wa bidhaa katika ghara.
- Kufunga mizigo ya wateja.
- Kupanga bidhaa katika ghara.
Sifa za muombaji.
- Awe mwaminifu.
- Awe mchapa kazi.
- Awe na elimu ya darasa la saba au kidato cha nne.
- Awe anaishi Dar es Salaam.
Maombi yote yatumwe kwa njia ya e-mail hii hapa chini;
miundombinu2010@yahoo.com.
Au unaweza kunipigia simu kwa maelekezo zaidi. Piga no.0786190200.
Asanteni.