Vijana wasomi wa Tanzania jitokezeni kugombea Uenyekiti na ujumbe nyumba kumi 2019

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,014
8,368
Nianze kwa kuwasabai wanajamvi! Habar zenu wandugu! Naomba usicoment huzi huu bila kuitikia SALAMU kwanza.

Baada ya salamu niwaombe niende kwenye HOJA ya jumapili ya leo!

Nina wataka vijana wote mliohitimu VYUO VIKUU Na Mnalalamika hakuna AJIRA mjitokeze kwa wingi kugombea UJUMBE WA NYUMBA KUMI,pamoja na uenyekiti serikali ya mtaa,ili mpate uzoefu wa kuongoza wanachi kwanza.

Nina sababu nyingi sanaa za kuja na hoja hapa!

Kwanza kuna vijana wengi ambao Mh raisi amewateau na kuwapa nafasi kubwa nchini ila hawajawai kuwa hata MONITA Darasani mpk sasahiv tunashuhudia vituko!

Pili kuna vijana wengi mnalia hamna AJIRA kisa hamna uzoezu tafadhali gombeeni ili mpate uzoefu.

Tatu,ongeza unae soma hapa............sio umataka point tu ukalili na ww ungezea hapa.

4.............

5.......






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, yaani mtu amalize chuo kikuu akagombee ujumbe wa nyumba kumi? bila shaka utakua mjumbe wa nyumba kumi wewe, hebu tuambie huo ujumbe umekufaidishaje!? halafu kwanini unadhani watu hasa vijana wanataka hizo nafasi? yaani msomi atoke chuo kisha akaiue elimu yake kitongojini? kwanza hizo ajira zitakua na masharti lazima uwe liccm kwanza, je huuoni ubaguzi wa dhahiri?
 
Nianze kwa kuwasabai wanajamvi! Habar zenu wandugu! Naomba usicoment huzi huu bila kuitikia SALAMU kwanza.

Baada ya salamu niwaombe niende kwenye HOJA ya jumapili ya leo!

Nina wataka vijana wote mliohitimu VYUO VIKUU Na Mnalalamika hakuna AJIRA mjitokeze kwa wingi kugombea UJUMBE WA NYUMBA KUMI,pamoja na uenyekiti serikali ya mtaa,ili mpate uzoefu wa kuongoza wanachi kwanza.

Nina sababu nyingi sanaa za kuja na hoja hapa!

Kwanza kuna vijana wengi ambao Mh raisi amewateau na kuwapa nafasi kubwa nchini ila hawajawai kuwa hata MONITA Darasani mpk sasahiv tunashuhudia vituko!

Pili kuna vijana wengi mnalia hamna AJIRA kisa hamna uzoezu tafadhali gombeeni ili mpate uzoefu.

Tatu,ongeza unae soma hapa............sio umataka point tu ukalili na ww ungezea hapa.

4.............

5.......






Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaa kweli Tanzania Mpya Elimu chuo kikuu ukawe Mwenyekiti kijijini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasomi waongoze nyumba 10 Bashite wa La Saba atawale Jiji. Si ndio?

Vijana wasomi fursa zitakuja pale tutakapong'oa utawala huu wa Kibashite. Hatuna haja ya kukimbilia nyumba 10 ...tumpgane kwanza mtu na akili zake akae ikulu 2020 atusukie mifumo.

La saba mbunge halafu mtu na diploma yake au madegree ni mjumbe nyumba 10 what a shame!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom