Kumekuwa na usemi hapa Tanzania kwa muda sasa kuwa VIJANA NI TAIFA LA KESHO.Sensa ya 2002 imedhihirisha pia kuwa Vijana ni wengi zaidi kuliko wazee,vilevile wazee wamekwisha tuongoza kwa nafasi mbalimbali hivyo ni muafaka kwao kupumzika na kuwaachia nafasi watoto wao ili nao wawaongoze na wao kubakia washauri tu.Nakaribisha maoni kuhusu hili kama changamoto ya uongozi katika Tanzania.