Jamani kama hamna habari habari ndio hiii; kuweni makini.
Good afternoon
Lets share this with you
Napenda kuwatahadharisha kuwa muwe makini zaidi mkiwa barabarani hasa kwenye foleni. Kuna kundi la vijana zaidi ya 30 wanavamia magari wakiwa na mapanga, nondo na visu kwa lengo la kupora chochote ulichonacho na halikadhalika wanauwa ama kujeruhi.
Maeneo hatari ni maeneo ya Jangwani- Morogoro Road,Ocean Road Seaview,Salender Bridge, Bonde la Kigogo ukitokea Ilala kuja Magomeni, Daraja la Ubungo karibu na njia panda ya kwenda UDSM na barabara ya Mandela Road ukitokea Tazara kuja Ubungo.
Good afternoon
Lets share this with you
Napenda kuwatahadharisha kuwa muwe makini zaidi mkiwa barabarani hasa kwenye foleni. Kuna kundi la vijana zaidi ya 30 wanavamia magari wakiwa na mapanga, nondo na visu kwa lengo la kupora chochote ulichonacho na halikadhalika wanauwa ama kujeruhi.
Maeneo hatari ni maeneo ya Jangwani- Morogoro Road,Ocean Road Seaview,Salender Bridge, Bonde la Kigogo ukitokea Ilala kuja Magomeni, Daraja la Ubungo karibu na njia panda ya kwenda UDSM na barabara ya Mandela Road ukitokea Tazara kuja Ubungo.