Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kwa maisha ninayoyapitia na jinsi ninavyopambana na haya maisha niweze kutoka; kwa jinsi ninavyoumiza kichwa maisha ya kujitegemea yanavyonipeleka kasi alafu nikisikia kijana ananiponda nalalamika maisha magumu huwa najiuliza:
Hivi ujasiri wa kuniponda huwa anautoa wapi akioniona nalalamika maisha magumu?
Hivi ujasiri wa kuniponda huwa anautoa wapi akioniona nalalamika maisha magumu?