Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Najua wapo watakaoniponda mimi lakini utafiti nilioufanya nimegundua vijana wanaokula na kulala bure hawawezi kujua uchungu maisha kwa sababu hawajui kwanini watu wanalalamika maisha ni magumu.
Watu ambao wameshazoea akiwa hana hela akimuomba shemeji yake anampa, akimbuomba baba anampa, akimuomba sijui anko wake anampa kula anakula bure, kulala analala bure, kitu wanachojua wengi ni kusifia watu na kupiga majungu watu.
Hivyo watu kama hawa hata mtu akilalamika life gumu yeye anakuona kama umebweteka.
Watu ambao wameshazoea akiwa hana hela akimuomba shemeji yake anampa, akimbuomba baba anampa, akimuomba sijui anko wake anampa kula anakula bure, kulala analala bure, kitu wanachojua wengi ni kusifia watu na kupiga majungu watu.
Hivyo watu kama hawa hata mtu akilalamika life gumu yeye anakuona kama umebweteka.