Wana JF, nimejaribu kuwaza kwamba juzi kwenye matokeo ya mtiani wa kidato cha nne 2019 hawa vijana 10 au "the best 10 students" kama yule kijana Yohana kutoka mkoa wa Simiyu na wengine waliotoka shule mbalimbali nchi nzima followup yao inakuwaje badae ili tuone kama nchi yaweza kunusuru na kufaidika na akili walizonazo.
Hawa ni ma "genious" students. Hongera CRDB kwa kumutembelea Yohana na kumufungulia Bank Account ya Tsh 1.5M nakujulia hali familia yake yenye kupanga chumba kimoja kwa Book saba (Tsh7,000) kwa mwezi.
Nimependelea labda wizara ya Elimu ingeunda au kuanzisha Database yao ili ijue wazazi wao au walezi wao pamoja na kuwa na contact zao za simu hao ndugu wa karibu na hawa vijana wetu kama wanayo mawasiliano.
Wako vijana wengi utasikia Form 1V kapasua lakini sijui wanaishiaga wapi katika maisha. Kila mwaka Wizara ikiweka huu mkakati itasaidia sana kuwapa moyo katika masomo yao mpaka wamalize University na kupewa vipaumbele katika ajira kuliko kuishia kuvuta madawa ya kulevya na bangi wakati walikuwa vichwa katika masomo.
Wizara tusaidieni kubuni na kuendeleza jambo hili tafadhali.
Hawa ni ma "genious" students. Hongera CRDB kwa kumutembelea Yohana na kumufungulia Bank Account ya Tsh 1.5M nakujulia hali familia yake yenye kupanga chumba kimoja kwa Book saba (Tsh7,000) kwa mwezi.
Nimependelea labda wizara ya Elimu ingeunda au kuanzisha Database yao ili ijue wazazi wao au walezi wao pamoja na kuwa na contact zao za simu hao ndugu wa karibu na hawa vijana wetu kama wanayo mawasiliano.
Wako vijana wengi utasikia Form 1V kapasua lakini sijui wanaishiaga wapi katika maisha. Kila mwaka Wizara ikiweka huu mkakati itasaidia sana kuwapa moyo katika masomo yao mpaka wamalize University na kupewa vipaumbele katika ajira kuliko kuishia kuvuta madawa ya kulevya na bangi wakati walikuwa vichwa katika masomo.
Wizara tusaidieni kubuni na kuendeleza jambo hili tafadhali.