M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Katika kile kinachodhihirisha mmomonyoko mkubwa wa maadili katika jamii yetu, vijana wawili mkoani Arusha wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti kisha kumyonga hadi kufa kaka yao wa kuzaliwa tumbo moja, vijana hao wamekiri hadharani kufanya tukio hilo lisilo la kawaida ambalo sababu yake haijajulikana bado.