Vijana waliokuwa wanatorosha mabinti miaka ya zamani wana afadhali kuliko wa sasa

Hivi Sasa ni Saa kumi na mbili na Nusu Asubuhi.
Unaendelea kuisikiliza Radio One ikitangaza toka Mikocheni,
Kipindi hewani ni Nipashe asubuhi.Kaa tupashe yaliyojili.
 
Umenena sawa kabisa, sema ndo hivyo kila zama na kitabu chake, sasa hivi wengi wanakuwa na mahusiano ambayo hata wenyewe wahusika hawajui yanahusiana na nini!! Ndo maana vibinti vingi vimezalia kwao
Yaani imekua kama fashooni kwamba Fulani anaboyfriend au girlfriend acha na Mimi nitafute ili niende na wakati
 
Na watu walirudi kijijini kuoa kwa familia inayojulikana kitabia na magonjwa sikuhizi wanakutana mjini na ndoa hazidumu daily tunatafta mchawi, Ile ya kuoana wa kabila Moja mnaojuana kitabia ilisaidia tofauti na hizi intermarriages za sikuhizi
Siku hizi wanaangalia misambwanda na rangi Wala siyo tabia na magonjwa
 
Hahaaaha hajarudi tu Toka Jana
Huyo ni kijana gani aweza mudu mahitaji ya Binti Kwa masaa mengi hivyo hakika atakua na Nia ya dhati ya kumuoa Binti!
Anyway
Muda wa chai Huu
8:21AM
 
Tanga kuna katabia ka kutekana na kuenda kuishi pamoja...

Alafu mtekaji anatuma wawakilishi na process za ndoa zinafanyika...
 
🗣️Me naona kama wakibeba ujauzito wanarudi shule,na ile sheria ya miaka 30 ibadirishwe🤐🤐
 
Back
Top Bottom