Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kwa maisha ya hivi sasa ni jambo la kawaida kukutana kijana miaka 30 hadi 40 bado yupo nyumbani kwao maisha ya kujitegemea wengi wanashidwa bado wanategemea wazazi.
Wengine wanaenda mbali zaidi hadi swala la kuoa imefika hatua anaoa akiwa mazingira ya kinyumbani na mkewe anaishi nae kwao akiwa anategemea bado wazazi.
Wengine maisha yao yanaishia kwa shemeji mahala alipolewa dada yake na yeye anaenda kuanzisha maisha pale pale akimtegemea shemeji.
Je, tatizo ni nini vijana wanashidwa kujitegemea?
Wengine wanaenda mbali zaidi hadi swala la kuoa imefika hatua anaoa akiwa mazingira ya kinyumbani na mkewe anaishi nae kwao akiwa anategemea bado wazazi.
Wengine maisha yao yanaishia kwa shemeji mahala alipolewa dada yake na yeye anaenda kuanzisha maisha pale pale akimtegemea shemeji.
Je, tatizo ni nini vijana wanashidwa kujitegemea?