sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Vijana wajifunze staha kwa taifa na uongozi wake sio kukurupuka bila hoja mwaka 2014 nilimshusha Joshua Nasary jukwaani aliposema Kikwete asiende Arusha ni nchi ya CHADEMA. Tuna rasilimali chache kuwatetea mahakamani FANYENI KAZI MKIHOJI MHOJI KWA EVIDENCE NA HOJA KUNTU ifike mahali tusiwe watu wa mahakamani kwa makosa ya kuropoka jukwaani na mitandaoni ni MUDA WA KAZI
SOURCE
SOURCE