Vijana wadogo na mijimama

kwa nini vijana wadogo kuanzia miaka 17 hadi 25 wanadata sana na majimama kuanzia miaka 30 hadi hamsini?
kulikoni jaman hii hali imeniacha katika sintofahamu?

Mbegu za Kiume za hao Vijana wa kati ya miaka 17 hadi 25 huwa zinawatekenya na kuwafanya wajione kama vile wako " Paris " wakila raha ila Mbegu za Kiume za Mijibaba ya kati ya miaka 45 hadi mwisho wa namba huwafanya " kushurutika " tu pasipo mpango.
 
Kuna sababu nyingi na kila mtu na sababu zake, miongoni mwa sababu ni hizi zifuatazo
1) kuna vijana waoga sana kuwafata waliokua saizi yao
2) wanahitaji kufundishwa mapenzi, ukiendesha lory sana, siku utakayopata tax unamuenjoy sana
3) hawahitaji kuwaumiza wenzao
4) majimama hayana harama kubwa
 
Kwa waliopata kuishi maeneo ambako uchimbaji dhahabu hufanyika, kuna kitu kinaitwa MARUDIO.
Yale ni mabaki ya dhahabu au niseme mabaki ya mchanga wa dhahabu. Kwa kiasi kikubwa wafanyabiashara wadogo hususani vijana huwekeza fedha zao katika marudio ili wafanye upya uchenjuaji wakibahatika wanapata dhahabu kidogo na mara nyingine hukosa kabisa na kukatika mitaji yao.
Wafanyabiashara wakongwe wa dhahabu hawathubutu kuwekeza fedha zao katika marudio maana wanajua risk ni kubwa zaidi kuliko opportunity ya kupata dhahabu. Bahati mbaya katika hili ni kwamba, hayo marudio yanapatikana kwa urahisi ukilinganisha na mwamba genuine wenye dhahabu hivyo gharama za kuwekeza ndogo sana katika marudio kuliko katika mwamba genuine.
Hiyo ndiyo tafsiri na maana halisi hata katika maisha ya kimapenzi, wazee wanajua thamani ya dogo dogo na gharama ya uwekezaji lakini kina Harmonists wanajua ni rahisi kuwekeza kwa kina Wolperists
 
Kwa waliopata kuishi maeneo ambako uchimbaji dhahabu hufanyika, kuna kitu kinaitwa MARUDIO.
Yale ni mabaki ya dhahabu au niseme mabaki ya mchanga wa dhahabu. Kwa kiasi kikubwa wafanyabiashara wadogo hususani vijana huwekeza fedha zao katika marudio ili wafanye upya uchenjuaji wakibahatika wanapata dhahabu kidogo na mara nyingine hukosa kabisa na kukatika mitaji yao.
Wafanyabiashara wakongwe wa dhahabu hawathubutu kuwekeza fedha zao katika marudio maana wanajua risk ni kubwa zaidi kuliko opportunity ya kupata dhahabu. Bahati mbaya katika hili ni kwamba, hayo marudio yanapatikana kwa urahisi ukilinganisha na mwamba genuine wenye dhahabu hivyo gharama za kuwekeza ndogo sana katika marudio kuliko katika mwamba genuine.
Hiyo ndiyo tafsiri na maana halisi hata katika maisha ya kimapenzi, wazee wanajua thamani ya dogo dogo na gharama ya uwekezaji lakini kina Harmonists wanajua ni rahisi kuwekeza kwa kina Wolperists
 
Kwa waliopata kuishi maeneo ambako uchimbaji dhahabu hufanyika, kuna kitu kinaitwa MARUDIO.
Yale ni mabaki ya dhahabu au niseme mabaki ya mchanga wa dhahabu. Kwa kiasi kikubwa wafanyabiashara wadogo hususani vijana huwekeza fedha zao katika marudio ili wafanye upya uchenjuaji wakibahatika wanapata dhahabu kidogo na mara nyingine hukosa kabisa na kukatika mitaji yao.
Wafanyabiashara wakongwe wa dhahabu hawathubutu kuwekeza fedha zao katika marudio maana wanajua risk ni kubwa zaidi kuliko opportunity ya kupata dhahabu. Bahati mbaya katika hili ni kwamba, hayo marudio yanapatikana kwa urahisi ukilinganisha na mwamba genuine wenye dhahabu hivyo gharama za kuwekeza ndogo sana katika marudio kuliko katika mwamba genuine.
Hiyo ndiyo tafsiri na maana halisi hata katika maisha ya kimapenzi, wazee wanajua thamani ya dogo dogo na gharama ya uwekezaji lakini kina Harmonists wanajua ni rahisi kuwekeza kwa kina Wolperists
 
Kwa waliopata kuishi maeneo ambako uchimbaji dhahabu hufanyika, kuna kitu kinaitwa MARUDIO.
Yale ni mabaki ya dhahabu au niseme mabaki ya mchanga wa dhahabu. Kwa kiasi kikubwa wafanyabiashara wadogo hususani vijana huwekeza fedha zao katika marudio ili wafanye upya uchenjuaji wakibahatika wanapata dhahabu kidogo na mara nyingine hukosa kabisa na kukatika mitaji yao.
Wafanyabiashara wakongwe wa dhahabu hawathubutu kuwekeza fedha zao katika marudio maana wanajua risk ni kubwa zaidi kuliko opportunity ya kupata dhahabu. Bahati mbaya katika hili ni kwamba, hayo marudio yanapatikana kwa urahisi ukilinganisha na mwamba genuine wenye dhahabu hivyo gharama za kuwekeza ndogo sana katika marudio kuliko katika mwamba genuine.
Hiyo ndiyo tafsiri na maana halisi hata katika maisha ya kimapenzi, wazee wanajua thamani ya dogo dogo na gharama ya uwekezaji lakini kina Harmonists wanajua ni rahisi kuwekeza kwa kina Wolperists
 
Mkuu nakubaliana na wewe kuendesha semi siku ukikutana na kiverossa kukipiga rivasi yaani ni sawa na kwenda mbele
 
nadhani sababu kubwa ni kua hawana gharama wala stress.... hana mi natafuta mmoja
 
Vijana wa sasa hasa madada wamebadil mtazamo ivo wamekuwa waktafta majibaba mababu zao kwaadai ya kuwa wanampanga wa ktosha ukilnganisha na vijana(boyz)ivo jambo hilo limewafanya boys wengi kutafta chance kwa mijimama ambayo haihtaji pesa nying na wakati mwingne mijimama iyo huwapa hela vijana: so there is drastic changes in the romantic field
 
Mbegu za Kiume za hao Vijana wa kati ya miaka 17 hadi 25 huwa zinawatekenya na kuwafanya wajione kama vile wako " Paris " wakila raha ila Mbegu za Kiume za Mijibaba ya kati ya miaka 45 hadi mwisho wa namba huwafanya " kushurutika " tu pasipo mpango.
ha ha ha

we jamaa umenichekesha sana aiseee
 
Back
Top Bottom