Vijana wadogo 20s yrs wako kwenye mahusiano na mabibi /wamama wa kizungu wenye umri zaid ya miaka 45 na kuendelea

PAND PIERI

Senior Member
Jul 30, 2020
183
270
Habari za weekend wana familia,poleni na majukum ya kila siku.Aise nilipata nafasi kadogo nikaamua niende zanzibar (Unguja) nikaone na mimi lilivyo ,nilikuwa naisoma tu na kusherekea Muungano bila kufika huko.

Vijana wadogo wenye umri wa 20s kuwa kwenye mahusino na mabibi /wamama (Wazungu) wenye umri zaidi ya miaka 45 na kuendelea ni Jambo la kawaida.

Vijana kubadili Kabila kuwa wamasai wakati kiuhalisia sio wamasai ili wavutie Wazungu ni kawaida.

Kusuka Rasta wakati unajua huendani na utamaduni wa kirasta ni kawaida.

Utofauti wa maneno ya kiswahi ,(Wa bara wanavyoita badhi ya vitu ni tofauti na huku zanzibar)

Ukienda beach mashoga kujiachia ni kawaida tu wakiwa wanasubiri Wazungu.

Gharama ya chakula /upatikanaji ni ngumu kwa baadhi ya maeneo

Mabeach boy kusubiri /kujipendekeza kwa Wazungu ili wawaongoze na wakati mwingine wanapigana na hata kutishana kurogana ni kawaida.

Watoto wa kizanzibar(mabinti) waliopo shamba hawaonekani kiurahisi.

Nimetembea karibia beach kubwa kubwa Unguja na shamba ndani ndani Kama Nungwi,pongwe,Matembwe, kendwa,Paje,kizimkozi,Mkokotoni,Michamvi.
 
tangazo liko sawa kabisa kwa hiyo kwa sasa sio lazima watu kuvuka majuu ni kwenda zanzibar tu basi
 
tangazo liko sawa kabisa kwa hiyo kwa sasa sio lazima watu kuvuka majuu ni kwenda zanzibar tu basi
Mkuu nimesema nilichokiona na kuifuatilia kwa hiyo kama utaiona ni tangazo sawa.
 
tangazo liko sawa kabisa kwa hiyo kwa sasa sio lazima watu kuvuka majuu ni kwenda zanzibar tu basi
Mkuu nimesema nilichokiona na kuifuatilia kwa hiyo kama utaiona ni tangazo sawa.
 
Mlizidiana miaka mingapi,Hawa Jana naona wametia fora fikiria mtu ana 23 na anamdet Bibi mzungu who have 49 yrs
Pindi nina miaka 22 chuo nilikuwa natoka na dada nesi anamiaka 35, ila mademu wengi niliotoka nao walikuwa wana range 28 na kuendelea

Na ni Kama mkosi maana mpka sahivi ndo michepuko yangu licha ya kuwa na demu mdogo na hao wadogo nawapata kwa shida tofauti na Hawa
 
Mkuu usiwaite mabibi nao wanahitaj huduma hizo:

Lakin pia hapo walipo nawe utafika tuu!!! Kiumri but moyo wako autozeeka!!!!

N.B
Nina 20's lakin naitaj zaid watu wazima hao.......kuanzia 40's.....
 
Back
Top Bottom