Mambo na watu
Member
- Jun 18, 2019
- 77
- 122
Napenda kutoa dukuduku langu
Sisi wakazi wa Mburahati NHC eneo la Spider kama unaenda Luhanga tunasumbuliwa na vijana wacheza kamari.
Vijana hawa wanapora wananchi. Hivi Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa anafanya kazi gani kama kazi ya kulinda wananchi inamshinda?
Wakazi wa hapa hatuna raha. Tulienda kutoa taarifa Polisi tarehe 11/4/2020 saa 3 na nusu usiku kuwa kuna vibaka wanasumbua wanacheza kamari pamoja na kuvuta bangi na kuiba polisi wakanijibu kesi hizo ni za mgambo wao hawawezi kufanya .
Sasa sisi wananchi tupeleke matatizo yetu wapi? Au mnataka mpaka watu wauane ndipo mje?
Sisi wakazi wa Mburahati NHC eneo la Spider kama unaenda Luhanga tunasumbuliwa na vijana wacheza kamari.
Vijana hawa wanapora wananchi. Hivi Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa anafanya kazi gani kama kazi ya kulinda wananchi inamshinda?
Wakazi wa hapa hatuna raha. Tulienda kutoa taarifa Polisi tarehe 11/4/2020 saa 3 na nusu usiku kuwa kuna vibaka wanasumbua wanacheza kamari pamoja na kuvuta bangi na kuiba polisi wakanijibu kesi hizo ni za mgambo wao hawawezi kufanya .
Sasa sisi wananchi tupeleke matatizo yetu wapi? Au mnataka mpaka watu wauane ndipo mje?