Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Hivi wana JF kuna anayekumbuka zile enzi zetu za u-bitoz mabugi kwenye kumbi kama The New Palace, Splendid, The Margots, Anatoglo, Princess, Bahari nk?? Bendi za The Sparks, The Tonics, The Revolution, Sunburst, Less Trippers [kabla ya kina marijani].
Nitafurahi sana kusikia kuwa baadhi ya wana JF ambao walikuwepo zile enzi.
Nitafurahi sana kusikia kuwa baadhi ya wana JF ambao walikuwepo zile enzi.