mfukunyunzi
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 142
- 26
Kwenye facebook page ya Abdallah Hamis Ambua a.k.a mjukuu wa Ambua wa EA radio/tv inasomeka hivi; dah...!!
nasikia nimesemwa vibaya leo
kwenye radio.. wamenisema
vibaya kuhusu mavazi yangu
kwenye KILI MUSIC AWARDS
dah... Ila me hakimu wangu ni
MUNGU pekee coz yeye ndiye
mpangaji wa kila kitu kwenye huu
ulimwengu.. (MUNGU ndiye
mgawaji wa rizk na kila kizuri ama
kibaya kwa mwanadamu na yeye ndiye aliyeninyima hayo mavazi
mazuri mpaka nasemwa vibaya
tena na VIJANA wenzangu dah..!!)
nasikia nimesemwa vibaya leo
kwenye radio.. wamenisema
vibaya kuhusu mavazi yangu
kwenye KILI MUSIC AWARDS
dah... Ila me hakimu wangu ni
MUNGU pekee coz yeye ndiye
mpangaji wa kila kitu kwenye huu
ulimwengu.. (MUNGU ndiye
mgawaji wa rizk na kila kizuri ama
kibaya kwa mwanadamu na yeye ndiye aliyeninyima hayo mavazi
mazuri mpaka nasemwa vibaya
tena na VIJANA wenzangu dah..!!)