Hassan r rwitita
Senior Member
- Nov 13, 2018
- 187
- 69
Halafu sijui wana dawa gani aisee kuina wengine walipokuwa upinzani walitupa madongo yenye changalawe kabisa kuiponda ccm leo wako ccm eti tena wamenadilika na kuanza kutukana walikotokaWepi hao? Wanatambulika kwa tabia zao za undumilakuwili na isitoshe hawana uwezo wa kujenga hoja kwani akili zao walishazikabidhi kwa mwenyekiti ma chakubanga! Hata hivyo shule yao ni nyembamba mno!