Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,529
- 2,969
Ikimpendeza Mwenyezi MUNGU mwingi wa Rehema.Lini utateuliwa mkuu?
Ikimpendeza Mwenyezi MUNGU mwingi wa Rehema.Lini utateuliwa mkuu?
Majuto hayo yamegeuka kuwa Chuki,...wanashinsdwa kumtukana yule jamaa inabidi tuu waendeleze harakati kinafki.Walisombwa na mabadiliko hewa hadi leo akili hazijawakaa sawa
Maneno ya mkosaji😂😂😂CCM ina uhaba wa vijana wenye akili ndio maana Rais akipata vijana wanaohamia CCM anawapa madaraka!
Na kweli hawajitambui, kwani licha ya kupiga kelele miaka mitano, hata ukatibu tu wa chama hayapewi, ila wapinzani waliokuwa wanayatukana sana, ndio utakuta mala wanateuliwa kuwa, manaibu waziri, ma dc, mala DED, yenyewe yamekaa tu na hayaumii!!!Misukule huwa haijitambui wala kujali na nyie vijana wa chama zee mpo hivyo hivyo watu wa mserereko na ukiwaangalia ni watu wa kanda flani flani.
Ndugu yake ZittoMwamba wa kaskazini View attachment 1485668