Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Habari zenu wanandugu...mimi ni mdahiliwa wa chuo kikuu cha dar es salaam kwa mwaka mpya huu wa masomo..nimepangwa hostels za mabibo... Kwakuwa me si mwenyeji sana wa mji huu ninapendelea zaidi kukaa hostels za ndani uku nikisoma mazingira ya mji taratibu...tafadhali kama kuna alie instrested na kuishi mabibo na amepangiwa hostels za ndan ani PM tuongee jinsi gan ntamwachia nafasi yangu ya mabibo block D...floor ya pili..shukran