Hivi kweli koko tuache utani. Naomba niulize swali.Ha ha haaaa
Maandishi yako unajielezea wewe
Usipofanya kazi na ....
Hivi kweli koko tuache utani. Naomba niulize swali.
Hivi huwa mnalipwa shingapi?
Hahahahaha haihitaji PhD ya kubangua korosho kujua upo upande gani ujueHa ha haaaa
Ningekuwa huko kiukweli kwa jinsi mnavyonipachika niko nao.. si mngenikoma
Hahahahaha haihitaji PhD ya kubangua korosho kujua upo upande gani ujue
Huko Lumumba ili kueneza pro-fisiem propagandaKulipwa na nani.. kwa lipi?
Huko Lumumba ili kueneza pro-fisiem propaganda
Kunaye mwnamke mmoja ukisoma comment zake utatamani kutapika!! Sijui hata kama ana mtoto dadeki maana hamna mwaname atapenda kuzaa na mwanamke kichwa maji huyu!!
Lingine ni usikubali ushabiki kuchukua reasoning capacity yako penye kusifia sifia pasipo hitaji kusifia usisifie...penye ku critiscise fanya constructive critiscism...Ndio mimi namshabikia Magufuli..
Una lingine?
Lingine ni usikubali ushabiki kuchukua reasoning capacity yako penye kusifia sifia pasipo hitaji kusifia usisifie...penye ku critiscise fanya constructive critiscism...
Ndio maana unaonekana umenunuliwa kuandika unayoandika maana kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kundika na kutetea upuuzi kama wewe na wenzio wa Lumumba mnavyofanya.mbavu zangu
Niache niandike zangu kile nataka.. sijatumwa kuwemo humu.. naburudika nitakavyo na sipangiwi.. eti nini eeeh.. andika wewe hayo unataka kuona naandika mimi..
Nadharau mno 'maandiko Na mitizamo' ya Barbarossa. Kumbe yumo kwenye hilo kundi!!Kuna huyu Msemaji Ukweli, Barbarosa, Coco nini sijui aiseee wana hali mbaya sana hawa watu...