Natafuta vijana wanaohitaji shughuli ndogo ndogo!
Shughuli niliyonayo ni kuuza mandazi na chai kwa kutembeza!
MALIPO; Malipo ni sh .3000 kwa kila deli ukilimaliza kila siku. Ila ukiwa na uwezo wa kuuza madeli mawili unapat 6000
MAHALI PA KUISHI; tutaishi wote geto
MUDA WA KAZI; Ni kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi mpaka ukimaliza mzigo wako
ANGALIZO!!!! mimi naishi geto tu,kwa hiyo hamna starehe ni kukomaa kiume ili mradi unatafuta maisha! Pia kazi hii inahitaji uipende kwa sababu usipofanya hivo itakushinda unatumia mda mwingi barabarani na jua hili usipojituma utashindwa kazi.kumbuka unalipwa kulingana na ulivofanya kazi na siku utakazofanya kazi.tunafanya kazi wote kwa hiyo hamna kulala
MAWASILIANO; Kama kuna mtu ana ndugu yake anaweza fanya kazi hii basi anitafute kwa hii namba 0689569883
MAHALI NINAPOISHI; Dar es salaam,Temeke
Shughuli niliyonayo ni kuuza mandazi na chai kwa kutembeza!
MALIPO; Malipo ni sh .3000 kwa kila deli ukilimaliza kila siku. Ila ukiwa na uwezo wa kuuza madeli mawili unapat 6000
MAHALI PA KUISHI; tutaishi wote geto
MUDA WA KAZI; Ni kuanzia saa kumi na mbili kamili asubuhi mpaka ukimaliza mzigo wako
ANGALIZO!!!! mimi naishi geto tu,kwa hiyo hamna starehe ni kukomaa kiume ili mradi unatafuta maisha! Pia kazi hii inahitaji uipende kwa sababu usipofanya hivo itakushinda unatumia mda mwingi barabarani na jua hili usipojituma utashindwa kazi.kumbuka unalipwa kulingana na ulivofanya kazi na siku utakazofanya kazi.tunafanya kazi wote kwa hiyo hamna kulala
MAWASILIANO; Kama kuna mtu ana ndugu yake anaweza fanya kazi hii basi anitafute kwa hii namba 0689569883
MAHALI NINAPOISHI; Dar es salaam,Temeke