Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,200
Wahi Lumumba bukubuku zipo kibao mradi tafuta kapelo hata lililochakaa, haya yaliyochakaa mitaani yapo mengi tu, vaa, nakwambia hukosi kitu.Na nitazipanda hadi Siku yangu ya Kufa Mkuu. Hivi wote tukiwa na Magari na Sisi tusiokuwa nayo ' tutachekwa ' na ' kudhihakiwa ' vipi na Matajiri na mlionayo kama Wewe / Nyie? Mimi GENTAMYCINE siyo tu kwamba napanda ' DalaDala ' kwakuwa sina Gari bali hata Hela / Pesa tu nazo sina na naishi tu ' Kimkandamkanda ' ila nashukuru kuwa napumua na nina Uhai huu.