Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Naona kuna kila dalili ya watu kupania kutekeleza Azimio la Zanzibari ambalo lilifikiwa hivi karibuni na viongozi wa vyama vya upinzani.
Katika kutekeleza azimio hilo,vijana wa CUF kwa kuwaalika vijana kutoka vyama vingine vya upinzani, wamepanga kufanya maandamano January 12 mwaka 2019, yakiwa ni maandamano ya kuunga mkono Azimio hilo la Zanzibar.
Fungua hii link hapa chini uone video ya vijana wa CUF wanaokusudia kuandamana siku hiyo ya tarehe 12/01/2019.
Vijana CUF kuandamana Januari 12
My take:
Ni wazi wapinzani wamekusudia jambo zito maana naona Halima Mdee ame-tweet maneno: "nguvu ya umma is coming soon" huku Zitto kupitia gazeti la Mwananchi la leo akikaririwa kusema kwamba mwaka 2019 utakuwa mwaka mgumu ambao hatujawahi kuushudia kwa miaka 20 iliyopita.
Zitto: Kuanzia kesho Watanzania tegeni masikio
Naona watu wameishiwa uvumilivu na wahusika wakikosa busara,hasa bwana wakubwa,basi tunaweza kushuhudia majanga mengine kama ilivyowahi kutokea huko nyuma.
Katika kutekeleza azimio hilo,vijana wa CUF kwa kuwaalika vijana kutoka vyama vingine vya upinzani, wamepanga kufanya maandamano January 12 mwaka 2019, yakiwa ni maandamano ya kuunga mkono Azimio hilo la Zanzibar.
Fungua hii link hapa chini uone video ya vijana wa CUF wanaokusudia kuandamana siku hiyo ya tarehe 12/01/2019.
Vijana CUF kuandamana Januari 12
My take:
Ni wazi wapinzani wamekusudia jambo zito maana naona Halima Mdee ame-tweet maneno: "nguvu ya umma is coming soon" huku Zitto kupitia gazeti la Mwananchi la leo akikaririwa kusema kwamba mwaka 2019 utakuwa mwaka mgumu ambao hatujawahi kuushudia kwa miaka 20 iliyopita.
Zitto: Kuanzia kesho Watanzania tegeni masikio
Naona watu wameishiwa uvumilivu na wahusika wakikosa busara,hasa bwana wakubwa,basi tunaweza kushuhudia majanga mengine kama ilivyowahi kutokea huko nyuma.