smy
Senior Member
- Jul 7, 2017
- 163
- 126
Habari wanajf
Leo nakuja hp ndugu zangu, vijana wenzangu wapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania popote tulipo kusimama, kushikamana kwenye harakati za kuboresha mapungufu kwenye nyanja mbalimbali za maendeleo,kuzingatia kwamba tunaelekea 2020 ambapo tutarajie uchaguzi, naomba tusifanye makosa km hatutaki yafuatayo katika jamii yetu:
1.umasikini mijini na vijijini
2.uhujumu uchumi
3.viongozi wapenda rushwa
4.mishahara kidogo
5.ukosefu wa ajira
6.viongozi waadilifu
7.uhalifu
8.uchumi mbovu
9.elimu duni
10.siasa za kale
11.bashite
12.ukabila
13.pesa adimu
14.utekwaji wa vijana
15.viongozi wababe
16.viongozi njaa
17.kipaumbele katiba
18.kufa viwanda binafsi
19.uhuru wa habari
20.miradi duni
N. K
Wazo la Leo
iPhone 6s
Leo nakuja hp ndugu zangu, vijana wenzangu wapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania popote tulipo kusimama, kushikamana kwenye harakati za kuboresha mapungufu kwenye nyanja mbalimbali za maendeleo,kuzingatia kwamba tunaelekea 2020 ambapo tutarajie uchaguzi, naomba tusifanye makosa km hatutaki yafuatayo katika jamii yetu:
1.umasikini mijini na vijijini
2.uhujumu uchumi
3.viongozi wapenda rushwa
4.mishahara kidogo
5.ukosefu wa ajira
6.viongozi waadilifu
7.uhalifu
8.uchumi mbovu
9.elimu duni
10.siasa za kale
11.bashite
12.ukabila
13.pesa adimu
14.utekwaji wa vijana
15.viongozi wababe
16.viongozi njaa
17.kipaumbele katiba
18.kufa viwanda binafsi
19.uhuru wa habari
20.miradi duni
N. K
Wazo la Leo
iPhone 6s